Uchaguzi UWT now: ni Sophia Simba Vs Anne Kilango

Ikumbukwe pia kuna mgombea mwingine, ye ni naibu waziri. Lakini yeye sio popular kwa kuwa hana makundi. Hii inatafsiriwa na watu wengine kuwa amepandikizwa ili kuondoa makundi yanayohatarisha umoja wa UWT. Si ajabu hata yeye akashinda. Hii ni pacificm theory. Yani kupreserve amani na utulivu na kuondoa makundi ndani ya jumuiya,then yeye ni candidate muafaka.

Japo mi c ccm huyu anafaa kuliko hao
 
Sophia Simba ashinda kwa ushindi wa kishindo... Kilango safari imewadia na unafki wako, na ubunge anaukosa

 
.......................Sophia Simba alikuwa mke wa Kitwana Kondo na Anna Kilango Malechela ni Mke wa Mzee John Malechela ................ Ngoma draw
 
Wadau, mkutano wa 8 wa Umoja wa Wanawake Tanzania(CCM) ndo umeanza punde Dodoma. Moja ya vitu vya msingi leo ni uchaguzi wa mwenyekiti wa jumuiya hiyo taifa.

Mchuano mkali ni kati ya Sophia Simba na Anne Kilango. Ikumbukwe hawa walianza vita na vijembe muda mrefu na wamekuwa na tofauti za kisiasa na uhasimu wa wazi kabisa.

Suala la nani ataibuka kidedea leo linasubiriwa kwa hamu sana na wanazi wa pande zote mbili waliojipanga hasa katika kila idara kuanzia majungu,rushwa,fitna na... you know what else..

Wajumbe ndio wameingia ndani. Tusubiri.

sasa wewe unashangaaa nini juu ya majungu fitina ushirikina pamoja na rushwa ndani ya CCCM YAANI HIYO NDO JADI NDANI YA CHAMA CHAO CHEZEA CCM WEWEE
 
Sophia Simba ashinda kwa ushindi wa kishindo... Kilango safari imewadia na unafki wako, na ubunge anaukosa


Anna Kilango nilimpuuza siku ile alivyopambana bungeni kuhakikisha wakuu wa wilaya wanasimamia katiba mpya,tangu siku hiyo nikaamini huyu mama hana maana kabisa.Vote.for Sophia Simba.
 
As long as wote wapo katika wrong platform hawafai.Wote hawana ajenda.Ajenda yao ni rushwa,bastola na mauzauza mengine tu.Wapiga kura wao nao wanaongozwa na reflex action tu!
 
Nakumbuka aliyefungiwa ndani kule Kiwira, Tukuyu wakati akijaribu kugawa rushwa katika kampeni za udiwani ambapo magamba yalishindwa vibaya.
 
As long as wote wapo katika wrong platform hawafai.Wote hawana ajenda.Ajenda yao ni rushwa,bastola na mauzauza mengine tu.Wapiga kura wao nao wanaongozwa na reflex action tu!

acha tu rushwa ndo mpango mzima kuna wajumbe hadi asubuhi walikuwa wamekunja laki 5
 
Back
Top Bottom