The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
chadema haiwezi kuanza kufikiria kuongoza taifa wakati viti vya ubunge hata 10 hawana! ..
wajipange kwanza kuanza kujuulikana vijijini ambapo ndio kuna wapiga kura wengi zaidi.
Gaijin, Mimi niko tofauti na wewe kidogo. CHADEMA imeanza kuwa vizuri zaidi kwa kipindi hiki cha miaka mitatu iliyopita, sasa swala la kuwa na wabunge wengi litegemewe kwenye next election 2010. Kutokana na CHADEMA kuonyesha upinzani mkali kwenye chaguzi ndogo hadi kusababisha UONGOZI mzima wa CCM kwenda ku-support wagombea wao inaonyesha wazi kuwa CCM watakwamwa kwenye uchaguzi mkuu kwa sababu majimbo yote yatakuwa yanagombewa kwa pamoja. Sioni uwezekanao wowote ule wa VUONGOZI wakuu wa CCM kuzunguka nchi nzima.
Kwa hiyo wana JF ambao tunahitaji mabadiliko tunatakiwa kutafuta na namna ya kufanya uhamasishaji ili kuing'ona CCM kwa kuhakikisha Wapinzani wanapata idadi kubwa ya viti vya ubunge.
TANZANIA BILA YA CCM INAWEZEKANA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.