Haijambo watz bongo mshafumbuka macho wasaidieni watu wa vijijini uko nasikia bado wanaamini kuwa nyerere yu hai, hivyo bado wanaamini kuwa ccm ni ileile ya nyerere.
Mwanafalsafa ukitaka nyeti za Mzee Slaa kaa na aidha Cardinal Pengo au Askofu Kilaini wakueleze vizuri,kama wakikubali waombe wakueleze ya Episcopal Council miaka ya 80 na early 90's.................etc.
P.S: Omuhaya ati 'Kitandugao'!!!!