Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,413
- 31,403
- Thread starter
- #81
HOFU YA REPUBLICAN
DEMOCRAT NAO WATAMANI CONVENTION
Hofu ya GOP kuelekea RNC inajengeka katika hali hizi
1. Trump ana wajumbe na kura nyingi akiwa front runner.
Mizengwe haitawezekana wakijua ana kundi kubwa la Republican nyuma yake?
2. Round ya kwanza isipotoa mshindi, itabidi round ya pili ifanyike.
Sehemu ya wajumbe watakuwa free kumchagua wantakaye.
Kasich akishida, Trump na Cruz watapuuzwaje wakiwa karibu 3/4 ya wapiga kura?
3. Ikiwa Cruz atashinda mzunguko wa pili au wa tatu(75% ya wajumbe wapo free)
nini hatma ya GOP, Trump akigombea kama mtu binafsi?
Tusisitize mkutano mkuu una sheria zake zinazobadilika kutokana na mazingira.
Tutafafanu katika mabandiko yajayo baadhi na sehemu kidogo tu ya sheria za RNC
DEMOCRAT
Hali si njema kama inavyodhaniwa. Stara inapotea na tutasikia mazito kulekea NY.
Clinton kampeni wanasema, wamechoshwa upotoshaji wa Sanders sasa ni 'Brawl'
Hesabu ni ngumu kwa Sanders katika taratibu wa kugawana wajumbe kwa uwiano
Tofauti ya wajumbe 200+ na punguzo la wajumbe 10 kwa wastani , litahitaji majimbo 20 katika ushindi wa 60% kumfikia Clinton(assumptions)
Jana kampeni ya Sanders imegusia super delegates na uamuzi wa kumuunga mkono.
Anasema uchaguzi uende DNC maamuzi yafayike huko.Unaweza kuona hata wao wana uhakika hesabu haziwapi nafasi ya kushinda bali ya kumfikia Bi Clinton tena kwa taabu
Hoja ya Sanders kwa sasa ni kuwa ameshinda majimbo 7 kati ya 8.
Hata hivyo, Sanders amepoteza majimbo 5 kwa usiku mmoja huko nyuma
Sanders anadai ameweza kuvuta watu wengi na hilo ni jambo jema.
Hapa kuna hoja, Sanders anashinda chaguzi wanazoweza kupiga vyama vyote.
Je,wanaokuja wana lengo la kumuunga mkono au ni kumdhoofisha Clinton?
Sanders anasema, kura za maoni zinaonyesha kushinda Republican tofauti na Clinton
Clinton kampeni wanasema, kura walizopata ni 2.5M zaidi ya wagombe wote DEM au GOP
Kuelekea NY kuna mitihani ifuatayo kwa wagombea wa Dem
Tutafafanua
DEMOCRAT NAO WATAMANI CONVENTION
Hofu ya GOP kuelekea RNC inajengeka katika hali hizi
1. Trump ana wajumbe na kura nyingi akiwa front runner.
Mizengwe haitawezekana wakijua ana kundi kubwa la Republican nyuma yake?
2. Round ya kwanza isipotoa mshindi, itabidi round ya pili ifanyike.
Sehemu ya wajumbe watakuwa free kumchagua wantakaye.
Kasich akishida, Trump na Cruz watapuuzwaje wakiwa karibu 3/4 ya wapiga kura?
3. Ikiwa Cruz atashinda mzunguko wa pili au wa tatu(75% ya wajumbe wapo free)
nini hatma ya GOP, Trump akigombea kama mtu binafsi?
Tusisitize mkutano mkuu una sheria zake zinazobadilika kutokana na mazingira.
Tutafafanu katika mabandiko yajayo baadhi na sehemu kidogo tu ya sheria za RNC
DEMOCRAT
Hali si njema kama inavyodhaniwa. Stara inapotea na tutasikia mazito kulekea NY.
Clinton kampeni wanasema, wamechoshwa upotoshaji wa Sanders sasa ni 'Brawl'
Hesabu ni ngumu kwa Sanders katika taratibu wa kugawana wajumbe kwa uwiano
Tofauti ya wajumbe 200+ na punguzo la wajumbe 10 kwa wastani , litahitaji majimbo 20 katika ushindi wa 60% kumfikia Clinton(assumptions)
Jana kampeni ya Sanders imegusia super delegates na uamuzi wa kumuunga mkono.
Anasema uchaguzi uende DNC maamuzi yafayike huko.Unaweza kuona hata wao wana uhakika hesabu haziwapi nafasi ya kushinda bali ya kumfikia Bi Clinton tena kwa taabu
Hoja ya Sanders kwa sasa ni kuwa ameshinda majimbo 7 kati ya 8.
Hata hivyo, Sanders amepoteza majimbo 5 kwa usiku mmoja huko nyuma
Sanders anadai ameweza kuvuta watu wengi na hilo ni jambo jema.
Hapa kuna hoja, Sanders anashinda chaguzi wanazoweza kupiga vyama vyote.
Je,wanaokuja wana lengo la kumuunga mkono au ni kumdhoofisha Clinton?
Sanders anasema, kura za maoni zinaonyesha kushinda Republican tofauti na Clinton
Clinton kampeni wanasema, kura walizopata ni 2.5M zaidi ya wagombe wote DEM au GOP
Kuelekea NY kuna mitihani ifuatayo kwa wagombea wa Dem
Tutafafanua