Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,205
- 3,010
Hi every one!
Duniani kote kuna watu wanajifanya ma-inspire,, yaani wanasimulia walivyoaswa na kufanikiwa katika maisha.Lakini sijawahi kumsikia mtu akimzungumzia Trump.
Raisi Trump alipotangaza kugombea uraisi kila mtu alimcheka, Obama alimdharau, Clinton alimdharau, Republican establishment kina Bush, Paul Ryan,Romney Macconel wote walimuona underdog, kilichotokea kila mtu anakijua.
Sahivi nafatilia kampeni zake,jamaa ana mikesi mingi sana ila kwenye kampeni zake ni noma. Jamaa anajaza nyomi hatari, nimefatilia kampeni zake kwenye majimbo ya south Calorina, Ohio, Iowa, Arizona, Whayoming jamaa anatisha na hayo majimbo atashinda yote.
Biden ana kibarua kigumu sana, nimatumaini yangu kuwa Biden hatoboi kwa Trump mwakani.
Welcome President Trump.
Duniani kote kuna watu wanajifanya ma-inspire,, yaani wanasimulia walivyoaswa na kufanikiwa katika maisha.Lakini sijawahi kumsikia mtu akimzungumzia Trump.
Raisi Trump alipotangaza kugombea uraisi kila mtu alimcheka, Obama alimdharau, Clinton alimdharau, Republican establishment kina Bush, Paul Ryan,Romney Macconel wote walimuona underdog, kilichotokea kila mtu anakijua.
Sahivi nafatilia kampeni zake,jamaa ana mikesi mingi sana ila kwenye kampeni zake ni noma. Jamaa anajaza nyomi hatari, nimefatilia kampeni zake kwenye majimbo ya south Calorina, Ohio, Iowa, Arizona, Whayoming jamaa anatisha na hayo majimbo atashinda yote.
Biden ana kibarua kigumu sana, nimatumaini yangu kuwa Biden hatoboi kwa Trump mwakani.
Welcome President Trump.