Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,337
- 31,163
- Thread starter
- #121
Mkuu Mag3
Katika hali ya kuzooeleka miaka ya karibuni, wagombea hufikia ''threshold' ya at least 30% ya kupata ugombea kabla ya kuelekea New York Primary. Kwamba front runner anaonekana wazi
Kama utakumbuka, tulisema uwezekano wa Republican kwenda convention ni inevitable
Wachambuzi wote wa siasa za ndani na nje waliona hilo wazi
Kilichosukuma hitimisho ni ukweli kuwa Trump alishinda chini ya 50% sehemu nyingi
Uwepo wa wagombea watatu, haukuweza kumpa mgombea yoyote 45-55%
Ushindi mfululizo wa Cruz na na kuchomoza kwa Kasich ilikuwa dhahiri RNC haiepukiki
Democrat;
Sanders kushinda majimbo 8/9 kulionyesha ni mapema kuhitimisha majaaliwa ya Clinton.
Uwezo wa kukusanya makundi ya watu na nguvu ya kampeni yake kwa kona zote, kuchangisha pesa, kushambulia, hoja n.k. ilikuwa ngumu kufikia hitimisho
Hesabu zote zilionyesha Clinton kuongoza, muda haukuwa na nafasi.
Michigan ili define mweleko wa uchaguzi ikimshtua Clinton na kumpa nguvu Sanders
Ilifahamika, ukubwa wa New York, Pennyslavania, Maryland, Connecticut ungetoa picha kubwa. Haikuwa makosa kufikiri hivyo.Picha imebadili mtazamokwa pande zote
Kilichobadilika:
NY iliwapa ushindi mnono Trump na Clinton na kubadili mwelekeo.
Matokeo ya jana yamehitisha matarajio yaliyokuwepo kuhusu wawili hao
Matarajio yamebadili sana uwezekano wa kwenda Convention kwa RNC.
Trump akiwa na wenzake wawili amewashinda kwa asilimia hadi 60.
Huko nyuma, ilibidi Trump ashinde kwa 58% majimbo yote ili kupata 1237.
Kwasasa inawezekana. Kashinda hadi 63 kwanini idhaniwehaitawezekana?
Clinton aliongoza kwa wajumbe kuanzia mwanzo, wawe pledge au super delegates.
Kasi ya Sanders ilionekana kumsimisha kwa muda. Naye kama Trump , NY, Pa, Md, Conn na delaware kumepanua pengo kati yake na Sanders.
Ili kumzuia, Sanders anahitaji 85% ya ushindi katika majimbo yote, jambo gumu sana
Trump na Clinton wanaelekea November kama hakutatokea miujiza mingine
Tusemzane
Katika hali ya kuzooeleka miaka ya karibuni, wagombea hufikia ''threshold' ya at least 30% ya kupata ugombea kabla ya kuelekea New York Primary. Kwamba front runner anaonekana wazi
Kama utakumbuka, tulisema uwezekano wa Republican kwenda convention ni inevitable
Wachambuzi wote wa siasa za ndani na nje waliona hilo wazi
Kilichosukuma hitimisho ni ukweli kuwa Trump alishinda chini ya 50% sehemu nyingi
Uwepo wa wagombea watatu, haukuweza kumpa mgombea yoyote 45-55%
Ushindi mfululizo wa Cruz na na kuchomoza kwa Kasich ilikuwa dhahiri RNC haiepukiki
Democrat;
Sanders kushinda majimbo 8/9 kulionyesha ni mapema kuhitimisha majaaliwa ya Clinton.
Uwezo wa kukusanya makundi ya watu na nguvu ya kampeni yake kwa kona zote, kuchangisha pesa, kushambulia, hoja n.k. ilikuwa ngumu kufikia hitimisho
Hesabu zote zilionyesha Clinton kuongoza, muda haukuwa na nafasi.
Michigan ili define mweleko wa uchaguzi ikimshtua Clinton na kumpa nguvu Sanders
Ilifahamika, ukubwa wa New York, Pennyslavania, Maryland, Connecticut ungetoa picha kubwa. Haikuwa makosa kufikiri hivyo.Picha imebadili mtazamokwa pande zote
Kilichobadilika:
NY iliwapa ushindi mnono Trump na Clinton na kubadili mwelekeo.
Matokeo ya jana yamehitisha matarajio yaliyokuwepo kuhusu wawili hao
Matarajio yamebadili sana uwezekano wa kwenda Convention kwa RNC.
Trump akiwa na wenzake wawili amewashinda kwa asilimia hadi 60.
Huko nyuma, ilibidi Trump ashinde kwa 58% majimbo yote ili kupata 1237.
Kwasasa inawezekana. Kashinda hadi 63 kwanini idhaniwehaitawezekana?
Clinton aliongoza kwa wajumbe kuanzia mwanzo, wawe pledge au super delegates.
Kasi ya Sanders ilionekana kumsimisha kwa muda. Naye kama Trump , NY, Pa, Md, Conn na delaware kumepanua pengo kati yake na Sanders.
Ili kumzuia, Sanders anahitaji 85% ya ushindi katika majimbo yote, jambo gumu sana
Trump na Clinton wanaelekea November kama hakutatokea miujiza mingine
Tusemzane