Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Wale wote wa ccm waliopiga kura kwa Mh. Zito ili kupata uhalali wa kutoa hoja bungeni ya kutokuwa na imani na waziri mkuu watakatwa majina yao kati ya majina ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika chama hicho kwenye kikao kitakachoongozwa na JK!
Source: Nipashe
Source: Nipashe