safi sana hawa ma trafiki wananiudhigi sana hata mimi wawapo barabarani...kuna wengine wanajua kazi zao na kuna wengine wakiwa wanaongoza magari hata mie ninakuaga na hamu ya kushuka na kuwazaba vibao
Kwani wewe ofisini kwako wote mko perfect??
safi sana hawa ma trafiki wananiudhigi sana hata mimi wawapo barabarani...kuna wengine wanajua kazi zao na kuna wengine wakiwa wanaongoza magari hata mie ninakuaga na hamu ya kushuka na kuwazaba vibao
safi sana hawa ma trafiki wananiudhigi sana hata mimi wawapo barabarani...kuna wengine wanajua kazi zao na kuna wengine wakiwa wanaongoza magari hata mie ninakuaga na hamu ya kushuka na kuwazaba vibao
Wana JF
Ni hivi juzi tu tumeshuhudia wanajeshi wakimpiga trafiki eti kawachelewesha kwenye foleni!
Sasa mimi ninajiuliza maswali kadhaa ambayo naamini hata wengine inawezekana wakawa wanajiuliza kama mimi
1. Je ni kweli trafiki aliwachelewesha wao wanajeshi tu au kulikuwa na watu wengine wa kawaida?
2. Je bara bara hiyo ilipaswa kutumiwa na wanajeshi peke yao? kwa maana ya kwamba vyombo vingine vya moto na
visivyo vya moto havistahili kutumia bara bara hiyo?
3.Au trafiki yule alishindwa kazi ya kuongoza magari na hivyo wao walitaka ku take charge kwenye kazi ile ya kuongoza
magari?
4. Kwa kitendo kile cha kumpiga trafiki je wananchi wa kawaida waamini kuwa trafiki anastahili kupigwa pale ambapo wanahisi wamecheleweshwa?
5.Je itakuwaje ikiwa watumiaji wa bara bara wakawa na tabia ya kuwapiga trafiki?
Tujadili kwa busara na sio kwa hisia binafsi
Nawasilisha
wanajeshi nao wanajiona wako juu ya sheria!
bora wanajeshi wamempiga uyo polisi....je raia waliomchinja polisi?
Matraffick huwa wanaboaaaa, bora walivyopewa kichapo! Mfyuuuuu! Wanaongoza kwa rushwa ol over, wa mikoani ndio usiseme, ni nUksi, watandikwe na bado!
Kwa Tanzania wao ni mabosi wa mapolisi...hata kwenye ghasia juzi..walifika maeneo ya tukio..wakala shushi tu, wakati wenzao wanakimbizana na mashehe ubwabwa.
bora wanajeshi wamempiga uyo polisi....je raia waliomchinja polisi?
Kasome katiba inakueleza tafsiri sahihi ya wanajeshi na sio kama unavyodhani
safi sana hawa ma trafiki wananiudhigi sana hata mimi wawapo barabarani...kuna wengine wanajua kazi zao na kuna wengine wakiwa wanaongoza magari hata mie ninakuaga na hamu ya kushuka na kuwazaba vibao
Kwa nini tulaumu trafiki badala ya kuangalia miundo mbinu ambayo itaondoa misongamano isiyokuwa na lazima! tafakari
trafiki polisi yeyote nchini hapa anastahili kipigo maana mambo wanayotufanyia wananchi,rushwa wanayochukua toka kwetu na makosa wanayotubambika sisi waendesha bodaboda tukiwa barabarani ni uonevu mtupu! Yaani total harassment
Mara kadhaa tumesikia askari wa JWTZ wamepiga raia hovyo bila sababu ya msingi. Kuna wakati utasikia eti wamepiga watu eneo kama stendi kisa eti mwnzao kaibiwa simu- very stupid. Inawezekana yameathirika kisaikollojia kutokana na kufungiwa kambini muda mrefu.
Wana JF
Ni hivi juzi tu tumeshuhudia wanajeshi wakimpiga trafiki eti kawachelewesha kwenye foleni!
Sasa mimi ninajiuliza maswali kadhaa ambayo naamini hata wengine inawezekana wakawa wanajiuliza kama mimi
1. Je ni kweli trafiki aliwachelewesha wao wanajeshi tu au kulikuwa na watu wengine wa kawaida?
2. Je bara bara hiyo ilipaswa kutumiwa na wanajeshi peke yao? kwa maana ya kwamba vyombo vingine vya moto na
visivyo vya moto havistahili kutumia bara bara hiyo?
3.Au trafiki yule alishindwa kazi ya kuongoza magari na hivyo wao walitaka ku take charge kwenye kazi ile ya kuongoza
magari?
4. Kwa kitendo kile cha kumpiga trafiki je wananchi wa kawaida waamini kuwa trafiki anastahili kupigwa pale ambapo wanahisi wamecheleweshwa?
5.Je itakuwaje ikiwa watumiaji wa bara bara wakawa na tabia ya kuwapiga trafiki?
Tujadili kwa busara na sio kwa hisia binafsi
Nawasilisha
Haikuwa sahihi kwa hao askari wa JWTZ kumpiga huyo askari wa trafiki. Hii ni tabia mbaya sana ambayo inaweza kuleta maafa makubwa isipothibitiwa mapema. Trafiki anapokuwa barabarani anaongoza magari pia anapata mawasiliano kwa radio call kutoka maeneo mengine kuhusu hali ya barabara. Na hapo ndipo anajipanga kikazi zaidi kujua wapi anaruhusu magari kwa muda gani, nk nk Yawezekana akapata taarifa ya msafara wa viongozi au chochote. Sasa yeye sio wa kulaumiwa eti amechelesha magari.
Siombei, lakini inawezekana siku moja wakawapiga hao polisi na wao wakajibu mapigo. Hawa wote wanabeba silaha za moto - itakuwaje?
Mwanajamii mmoja anasema alichelewesha ili apate rushwa kutoka kwa madereva... nadhani hii sio sahihi kwani hivi kweli madereva wana muda wa kujiorganize na kuchangisha hiyo pesa wakiwa ktk jam??? Trafiki wanatuhumiwa kwa kupokea rushwa sana... na ni kweli kbs, lkn sio ktk mazingira hayo!
Mara kadhaa tumesikia askari wa JWTZ wamepiga raia hovyo bila sababu ya msingi. Kuna wakati utasikia eti wamepiga watu eneo kama stendi kisa eti mwnzao kaibiwa simu- very stupid. Inawezekana yameathirika kisaikollojia kutokana na kufungiwa kambini muda mrefu.
Huo ni upumbavu na ulimbukeni wa kufikiri kwa kutumia makalio kwamba wao juu ya sheria. Viongozi wa majeshi yote na wananchi wote tunapaswa kukemea huu ujinga wa hao majambazi kwa nguvu zote.