TOFU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2012
- 573
- 196
Jaribuni muone maana hata kama dhaifu ataendelea kuwaambie makamanda wawache ndugu zake kama alivyokuwa akifanya haitasaidia...ni kichapo tu. Umeona jana?? Virungu na makofi mitama hadi raha...chezea state machinery wewe? eti mnakwenda ikulu...kula tende? au mmesikia pale kuna msikiti??panaendeshwa kwa kodi zetu hata kama dhaifu anawavumilia jshi limemstukia anakoipeleka nchi na hatukubali...andamaneni tena muone.
Walizani kunampunyenye apo na mashindano yakucheza Bao...
Chezea dhaifu bt ukisikia jeshi hili nilijualo mm.....
Aisee hamnaga rangi utaachaga ona..