- Thread starter
- #21
tatizo lililopo kwa tanzania ni kwamba atachaguliwa igp ambaye atakuwa attached to the president instead of the country, na ndio kwa mkuu wa majeshi, controller and auditor general, attorney general, etc etc, matokeo yake hata mawaziri na wabunge wanakuwa na msimamo huo. angalia mikataba ya meremeta, rada, iptl, net group, madini, nk nk kutokana na kumpa madaraka makubwa raisi ambaye kutokana na mfumo wetu tunaweza kupata kichaa, sasa mpaka wagunde wananchi au wawakilishi wao utaona wanasema katiba inayo mpa raisi madaraka makubwa haifwai
Ndio muswada huu unataka wewe upeleke hayo maoni kwenye tume then tuyapunguze madaraka ya rais kwenye katiba mpya kuna tatizo??