Ubaya wa Muswada wa katiba kama ulivyo?

Topical

JF-Expert Member
Dec 3, 2010
5,174
935
Ukiacha hoja za TL kwamba haukujadiliwa (i.e. mara ya kwanza na pili), naomba kwa dhati kabisa ubaya wa muswada huo kama ulivyo sasa, na pengine utaratibu gani ndio ungeleta katiba nzuri?? kwanini unafikiri kwamba kama ilivyo haitaleta katiba nzuri kwa nchi???
 
ukusoma hotuba ya tundu lisu utaona madudu yaliyomo humo..

Nimesoma mkuu ukisoma ni mambo mawili tu niliyoyaona?
1. Kwamba nafasi ya Zanzibar ni kubwa mno??? unafikiri tungefanyeje?? maana ukibadilisha maana yake wazanzibar watataka kusikilizwa tena na haupiti unafirki utaratibu gani ungefaa??

2. Upelekwe kwa mara kwanza ili ujadiliwe?? lakini haonyeshi vipengele vya msingi vyenye shida zaid ya nafasi ya rais lakini anasahau hata wangepita bunge bungeni bado ccm ina nafasi kubwa zaidi?? what options do you suggest??
 
Mambo yafuatayo:
1. Mswaada umempa raisi nafasi ya kidikteta ktk kusimamia mchakato mzima wa uundwaji wa katiba. yeye ndo anasimamia kila kitu. Haujatoa nafasi ya uwakilishi wa kidemokrasia katika process hiyo.

2. Zanzibar wamepewa nafasi kubwa ya uwakilishi katika mchakato, kwa karibu kiwango sawa na serikali ya muungano; je, Tanganyika uwakilishi wao uko wapi? Je, serikali ya muungano ndiyo ya Tanganyika? Kama ndo ya Tanganyika, je wazanzibari wanaingia kufanya nini kwenye mambo ya watanganyika? Mbona watanganyika hawakuhusishwa wakati wazanzibari wanatengeneza katiba yao?

3. Mswaada huu haukupaswa kusomwa kwa mara ya pili bungeni. Ulipaswa kusomwa kwa mara ya kwanza. Ule ulioletwa mwezi April ulikataliwa, na serikali ikauondoa bungeni. Serikali ikaenda kuandaa mswaada mpya, ambao ndo huu ulioletwa bungeni. Hai-make sense kuswoma kwa mara ya pili wakati ule wa mwanzo ulikatiliwa na kuondolewa.
 
Mambo yafuatayo:
1. Mswaada umempa raisi nafasi ya kidikteta ktk kusimamia mchakato mzima wa uundwaji wa katiba. yeye ndo anasimamia kila kitu. Haujatoa nafasi ya uwakilishi wa kidemokrasia katika process hiyo.

2. Zanzibar wamepewa nafasi kubwa ya uwakilishi katika mchakato, kwa karibu kiwango sawa na serikali ya muungano; je, Tanganyika uwakilishi wao uko wapi? Je, serikali ya muungano ndiyo ya Tanganyika? Kama ndo ya Tanganyika, je wazanzibari wanaingia kufanya nini kwenye mambo ya watanganyika? Mbona watanganyika hawakuhusishwa wakati wazanzibari wanatengeneza katiba yao?

3. Mswaada huu haukupaswa kusomwa kwa mara ya pili bungeni. Ulipaswa kusomwa kwa mara ya kwanza. Ule ulioletwa mwezi April ulikataliwa, na serikali ikauondoa bungeni. Serikali ikaenda kuandaa mswaada mpya, ambao ndo huu ulioletwa bungeni. Hai-make sense kuswoma kwa mara ya pili wakati ule wa mwanzo ulikatiliwa na kuondolewa.

Bado huyo Topical hawezi kukuelewa,
 
Mambo yafuatayo:
1. Mswaada umempa raisi nafasi ya kidikteta ktk kusimamia mchakato mzima wa uundwaji wa katiba. yeye ndo anasimamia kila kitu. Haujatoa nafasi ya uwakilishi wa kidemokrasia katika process hiyo.

2. Zanzibar wamepewa nafasi kubwa ya uwakilishi katika mchakato, kwa karibu kiwango sawa na serikali ya muungano; je, Tanganyika uwakilishi wao uko wapi? Je, serikali ya muungano ndiyo ya Tanganyika? Kama ndo ya Tanganyika, je wazanzibari wanaingia kufanya nini kwenye mambo ya watanganyika? Mbona watanganyika hawakuhusishwa wakati wazanzibari wanatengeneza katiba yao?

3. Mswaada huu haukupaswa kusomwa kwa mara ya pili bungeni. Ulipaswa kusomwa kwa mara ya kwanza. Ule ulioletwa mwezi April ulikataliwa, na serikali ikauondoa bungeni. Serikali ikaenda kuandaa mswaada mpya, ambao ndo huu ulioletwa bungeni. Hai-make sense kuswoma kwa mara ya pili wakati ule wa mwanzo ulikatiliwa na kuondolewa.

1. Process ya kidemokrasia ingekuwa kivipi kwa mfano? ambayo unafikiri haitakuwa ya kidikteta??

2. Zanzibar kupewa nafasi kubwa inainyima vipi Tanganyika haki zipi? kwa mfano??? lipi Tanganyika itaikosa??

3. Nimesema tukiacha malumbano ya kusomwa mara ya kwanza na ya pili maana nataka nifahamu tatizo la muswada kama ulivyo una shida gani kwa wananchi kupata katiba nzuri??
 
hapo ndipo kwenye problem. madai ya kimsingi ya cdm munayaita malumbano. haramu ni haramu tu. haitapita au hata ikipita haitadumu.

then ikienda mara ya kwanza ikarudi kama ilivyo hakuna tatizo kwa mtazamo wako au siyo?
 
1. Process ya kidemokrasia ingekuwa kivipi kwa mfano? ambayo unafikiri haitakuwa ya kidikteta??

2. Zanzibar kupewa nafasi kubwa inainyima vipi Tanganyika haki zipi? kwa mfano??? lipi Tanganyika itaikosa??

3. Nimesema tukiacha malumbano ya kusomwa mara ya kwanza na ya pili maana nataka nifahamu tatizo la muswada kama ulivyo una shida gani kwa wananchi kupata katiba nzuri??

hata kama tukikueleza hutaelewa,hata kama tukikupa mfano bado hutaelewa na tukikuliza swali kwa nini unajidai hujui kusoma na hutaki hata kuangalia picha? huwezi kutupa jibu.
 
Mambo yafuatayo:
1. Mswaada umempa raisi nafasi ya kidikteta ktk kusimamia mchakato mzima wa uundwaji wa katiba. yeye ndo anasimamia kila kitu. Haujatoa nafasi ya uwakilishi wa kidemokrasia katika process hiyo.

2. Zanzibar wamepewa nafasi kubwa ya uwakilishi katika mchakato, kwa karibu kiwango sawa na serikali ya muungano; je, Tanganyika uwakilishi wao uko wapi? Je, serikali ya muungano ndiyo ya Tanganyika? Kama ndo ya Tanganyika, je wazanzibari wanaingia kufanya nini kwenye mambo ya watanganyika? Mbona watanganyika hawakuhusishwa wakati wazanzibari wanatengeneza katiba yao?

3. Mswaada huu haukupaswa kusomwa kwa mara ya pili bungeni. Ulipaswa kusomwa kwa mara ya kwanza. Ule ulioletwa mwezi April ulikataliwa, na serikali ikauondoa bungeni. Serikali ikaenda kuandaa mswaada mpya, ambao ndo huu ulioletwa bungeni. Hai-make sense kuswoma kwa mara ya pili wakati ule wa mwanzo ulikatiliwa na kuondolewa.

Hayo unayoyasema yote ni yako wewe hujaonesha mswaada unasemaje kuhusu hayo, na pia hujatuonesha wa kwanza ni huu na wa pili ni huu. Pumba hatutaki tuwekee mchele.
 
tatizo lililopo kwa tanzania ni kwamba atachaguliwa igp ambaye atakuwa attached to the president instead of the country, na ndio kwa mkuu wa majeshi, controller and auditor general, attorney general, etc etc, matokeo yake hata mawaziri na wabunge wanakuwa na msimamo huo. angalia mikataba ya meremeta, rada, iptl, net group, madini, nk nk kutokana na kumpa madaraka makubwa raisi ambaye kutokana na mfumo wetu tunaweza kupata kichaa, sasa mpaka wagunde wananchi au wawakilishi wao utaona wanasema katiba inayo mpa raisi madaraka makubwa haifwai
 
@TOPICAL, Wahenga walisema asiyejua maana haambiwi maana, so kama wee huoni tatizo, pamoja namaelezo yote aliyotoa LISSU katika mswada huu, hata ukionyeshwa hutoliona. Bora ukae utulie kuliko kuendelea kutafuta maana ambayo hata ukinyeshwa hutaelewa. MTOTO ANAYENYONYA HAPEWI KONGORO ATAFUNE!
 
hata kama tukikueleza hutaelewa,hata kama tukikupa mfano bado hutaelewa na tukikuliza swali kwa nini unajidai hujui kusoma na hutaki hata kuangalia picha? huwezi kutupa jibu.

Mkinieleza nitaelewa, mkinipa mfano nitaelewa nashindwa kuwaunga mkono kwasababu mnapinga lakini hamuwezi kutoa kasoro zake ni nini? hapo ndio ninapowashangaa..au ndio bendera fuata upepo..
 
@TOPICAL, Wahenga walisema asiyejua maana haambiwi maana, so kama wee huoni tatizo, pamoja namaelezo yote aliyotoa LISSU katika mswada huu, hata ukionyeshwa hutoliona. Bora ukae utulie kuliko kuendelea kutafuta maana ambayo hata ukinyeshwa hutaelewa. MTOTO ANAYENYONYA HAPEWI KONGORO ATAFUNE!

Naomba tuvunje hayo ya wahenga naomba uniambie maana for sure nataka kuwa support lakini sielewi mnacholalamika ni nini??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom