Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Kumbe ndio maana mnakula funza wakati wa kiangazi, hamfanyi kazi zaidi ya kukifurahisha chama mpate mlo wa siku moja. Mtaendelea hivyo hivyo singidadodoma