Ubaguzi waitafuna CHADEMA. Salum Mwalimu alisukiwa Zengwe aukose ukatibu mkuu

Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
Ulikuwa unakimbilia wapi ndugu??
 
Mwalimu kuachwa katika nafasi ya ukatibu mkuu unashangaa Na kuita ubaguzi?? Na wengine bado tunashangaa kwa nini hakupewa Mnyika.
 
20160422_044447.jpg



Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Acha fitina zisizokuwa na mashiko.
 
Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.


hii lugha hata kwenye kiswanglish haipo.
 
20160422_044447.jpg



Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Nafasi iliyokuwa wazi na ambayo ilitakiwa kujazwa ni ya Katibu Mkuu wa Chama. Mwalimu tayari alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na alikuwa akikaimu Ukatibu Mkuu wa Chama. Sasa hapa ubaguzi dhidi ya Mwalimu unatoka wapi? Katibu Mkuu amepatikana, Mwalimu anaendelea na nafasi yake ya Unaibu Kabibu Mkuu-Zanzibar. Ukitaka kujua formula ya uongozi wa Siasa waulize CCM sababu ya kutoteua Katibu Mkuu kutoka Zanzibar! Siyo bahati mbaya kwa Chadema kuteua Katibu Mkuu wa chama hicho kutoka bara pia. Ni kanuni ya msingi ya hesabu za uongozi wa Siasa za Tanzania.
 
Mwalimu kuachwa katika nafasi ya ukatibu mkuu unashangaa Na kuita ubaguzi?? Na wengine bado tunashangaa kwa nini hakupewa Mnyika.
Kwa mnyika usishangae maana hakukubaliana na mamvi ikikua kuoelekeshwa tu
 
20160422_044447.jpg



Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.

Hizi ni akili za washindia ubuyu kama wewe!
Hivi ni kweli mtu apewe tu cheo hata kama hawezi kwa sababu ya dini yake?

Ikiwa hivyo basi JPM anapalilia ukristo nchini!
 
Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
Mkuu una udugu na Pdidy?
 
20160422_044447.jpg



Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Waislam wamuulize Juma Duni Hali, alikuwa kama Bundi katikati ya ndege wadogowadogo mchana kweupe.
 
Salum ndiye mwislamu pekee CDM? Hizi akili za ajabu sana kuwahi kutokea

Sipati picha kwa hizi propaganda za kitoto iwapo Dr. Slaa angekuwa muislamu na hicho kilichotekea mpaka Dr. Slaa akajitoa cdm. Ndugu yangu inabidi watu tuwe waelewa kwamba kinachoendelea hapa jukwaani ni propaganda ambazo kama huna uelewa wa kutosha basi unapotezwa tu.

cc: nndondo
 
Hili jarida la "MKAKATI" kama halimilikiwi na chama basi litakuwa linamilikiwa na kada. Maana kila linapotoka, jarida lote linajaa kama si habari za Lowasa basi ni habari za CHADEMA. Halafu kuna pia lile jarida jingine la "DIRA" nalo kuanzia front page mpaka mwisho ni habari za Lowasa tu, JK yupo China toka juzi majarida yameshindwa kweli kumtengenezea Lead Story?
 
Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.

Unaonekana una fitina za hali ya juu mpaka hata kuandika huwezi. Hebu pitia hili tapishi uuone ulivyo andika kwa makosa mengi. Fitina haijengi, nilitaraji huko ACT ulikohamia ungejifunza hata kuandika kwa usahihi kumbe unahamishia hila tu kwenye chama kingine.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom