Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,700
Ulikuwa unakimbilia wapi ndugu??Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.