mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
Unawasema akina nani mkuu? Mchanganyiko - hatu udini, ukabila n.k CCM Juuuuu!mbona viongozi wote CCM,uvccm waislamu sisi wakristo hatusemi
Unawasema akina nani mkuu? Mchanganyiko - hatu udini, ukabila n.k CCM Juuuuu!mbona viongozi wote CCM,uvccm waislamu sisi wakristo hatusemi
Udini Udini hauna tija zama hii tunafocus kwenye mambo yenye tija unaleta Udini! Aibu yenu.
Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Kama huyu unakuta Naye eti ni graduate!!! Aaagh!!Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
Haya Mamaa unafurahisha siku moja moja ila Tukianza mijadala ya kidini HATARI TUPU.Chaggaema wana URAFIKI Na PESA Tu.Huyo kijana nilimuasa siku nyingi kupitia hii hii JF, kuwa hao wachaga wanakutumia tu, wakimaliza shida yao wanakuita msaliti.
Hajanielewa, sasa kiranga komo.
Jk hana mvutoHili jarida la "MKAKATI" kama halimilikiwi na chama basi litakuwa linamilikiwa na kada. Maana kila linapotoka, jarida lote linajaa kama si habari za Lowasa basi ni habari za CHADEMA. Halafu kuna pia lile jarida jingine la "DIRA" nalo kuanzia front page mpaka mwisho ni habari za Lowasa tu, JK yupo China toka juzi majarida yameshindwa kweli kumtengenezea Lead Story?
Mbona wewe tayari ndio ushaanza kuteketea?wakati cdm tunasubiri mwisho wetu ufike?Machadema mwisho wenu umefika
Wewe mbona ulitumiwa na kutupwa kwenye pipa la takataka kama ganda la muwa?kweli nimeamini kuwa nyani haoni kunduleHuyo kijana nilimuasa siku nyingi kupitia hii hii JF, kuwa hao wachaga wanakutumia tu, wakimaliza shida yao wanakuita msaliti.
Hajanielewa, sasa kiranga komo.
Ndo hivyo mkuu ndo maana AKIONA HAWA WATU Anataka kufa kabisa.Ina maana mzee Duni amepata kadhia kama hiyo hadi ameamua kurejea CUF?
Mipango ya kina Mzito Kabwela hiyo imefanikiwa.
Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Teh teh teh!!Waislam wamuulize Juma Duni Hali, alikuwa kama Bundi katikati ya ndege wadogowadogo mchana kweupe.
Sio Dr Slaa tena. Huko ndio kufilisika hojaNi kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
sitowasahau jinsi mlivyomtukana Kikwete humu kuwa ni mdini pale ilipotokea katika teuzi zake akawepo muislam japo zaidi ya 75% ya teuzi zake walikuwa wakirsto. nyie ni wapumbavu tu abadan.Sijui ni kwa nini mnapenda udini kiasi hiki! Dr. Dau kutolewa NSSF nayo nongwa ati mwislamu. Wakristu wanapotolewa au kuachwa sehemu ni sawa kosa tuguswe waislamu! Hatujengi