Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
Point nzuri sana, kama wote si wapenzi wa chadema, vipi mmoja aenziwe mmoja asahauliwe? hapo sasa!
Inahitaji uwe na akili kidogo na dhamira ya kunielewa ndio utanielewa.
Muuza magazeti aliangukiwa na 'flying object' 300m kutoka kwenye maandamano.
Mwangosi alikuwa kwenye kazi inayoihusu CDM.
Pamoja na hayo, kila msiba una uzito wake. Akifa mtoto si sawa na akifa mtu mzima. Wengi tulimjua Mwangosi hata kabla hamjamuua, lkn nani alimjua Singano mpk uwalinganishe? Mwangosi ni IMAGE ya jamii na kazi aliyokuwa anaifanya haipaswi kupuuzwa na mtu mwenye akili timamu.
Kinachokufanya ubwabwaje utumbo ni shilingi 2800 za Nape ulizochukua advance. Umekosa cha kukosoa sasa unabangaiza, eti? Kweli hela ngumu