Ubaguzi au Maslahi Kisiasa?

acha udini wewe kiumbe ... huu ni udhaifu mkubwa sana unaotokana na malezi .. mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

hata watoto wako na wajukuu wako watakuwa wadini ...

what a silly thread

Sidhani kama kuna dini mleta huu uzi kajikita zaidi kwenye maslahi ya kisiasa.
 
Sidhani kama kuna dini mleta huu uzi kajikita zaidi kwenye maslahi ya kisiasa.

Anzisheni mada ya udini na mnajijibu wenyewe ... upuuzi


read between the lines "ubaguzi" .... especially who is concerned ... zomba .... aka ff ... udini tuuu

what a slippery thread
 
Katika Mikoa tofauti na hekaheka za kisiasa za CHADEMA kumetokea vifo viwili ambavyo vyote vimehusishwa na Polisi kwanjia moja nyingine.

Vifo hivyo ni vya watu wenye fani zinazotegemeana, mmoja ni Mwandishi wa habari za magazetini na mmoja ni muuza magazeti. Wote hao ni wadau wakuu wa magazeti na wote hao ni wapenzi wa Chadema.

Cha kushangaza ni pale tunapoona mmoja kapata kila aina ya huruma kuanzia viongozi wa chadema mpaka wanaharakati wa hakiza binaada na "exposure" iliyotukuka kwenye TV, magazeti, maandamano, wana harakati, michango ya maziko, michango kwa aliowaacha, ahadi za kutazamwa familia yake na hata kusomeshwa wanawe na mwingine akisahauliwa kabisa.

Tumeona maziko ya mmoja ya kiongozwa na Viongozi wa Kitaifa wa chadema na kurushwa kwenye magazeti na kwenye mitandao, mwengine yule sijui hata kama alijulikana kazikwa wapi.

Watu hao ni:

Ally Singano - Muuza Magazeti
Daudi Mwangosi- Mwandishi wa magazeti.

Jee, ni Ubaguzi au Maslahi ya Kisiasa?
Zee zima hovyoo! Mwangosi alikuwa mwandishi na mwakilishi wa TV - chanel ten na sio magazeti. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu, nyau we!
 
Zee zima hovyoo! Mwangosi alikuwa mwandishi na mwakilishi wa TV - chanel ten na sio magazeti. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu, nyau we!

hit hard on the eccentric of the backbone

you ashamed him ... yes this is a foolish post
 
Zee zima hovyoo! Mwangosi alikuwa mwandishi na mwakilishi wa wa TV - chanel ten na sio magazeti. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu, nyau we!

Mwakilishi wa channel 10 haimaanishi siyo mwandishi wa magazeti. Daudi ni Mwandishi wa magazeti, kama hujui uliza usikurupuke.
 
Ukiona watu wanakimbia hoja na kuanza kudwell kwenye tofauti kati ya mwandishi wa gazeti na mtangazaji wa TV ujue hawana hoja ya kujibu hoja...
 
Katika Mikoa tofauti na hekaheka za kisiasa za CHADEMA kumetokea vifo viwili ambavyo vyote vimehusishwa na Polisi kwanjia moja nyingine.

Vifo hivyo ni vya watu wenye fani zinazotegemeana, mmoja ni Mwandishi wa habari za magazetini na mmoja ni muuza magazeti. Wote hao ni wadau wakuu wa magazeti na wote hao ni wapenzi wa Chadema.

Watu hao ni:

Ally Singano - Muuza Magazeti
Daudi Mwangosi- Mwandishi wa magazeti.

Jee, ni Ubaguzi au Maslahi ya Kisiasa?

Bwana ZOMBA, jaribu kutumia akili yako hata kidogo.

Hapo kwenye RED nakushauri uache. Mwangosi si MPENZI WA CHADEMA. Kuwepo kwake kwenye mkutano wa CHADEMA ni katika kutimiza majukumu yake ya UANDISHI WA HABARI.

Ally Singano hakuwa kwenye mkutano. Kwa mujibu wa Policcm, aliangukiwa na 'flying object' mita 300 kutoka maandamano yalipokuwepo. Unafiki na kusda mbaya zinakufanya unakuwa mtungaji kiasi cha kulazimisha kuwa Ally Singano ni mpenzi wa CDM so as Mwangosi.

Kuhusu maslahi ya kisiasa, what is wrong if the answer is YES? CDM is a political party. We are doing politics. Kama hujui siasa hutajua maana yake. Shida ni kwamba, hukuwa na mchango wa ku-address kwenye mada kuu sasa unatafutatafuta kajineno angalau ka kuipaka matope CDM ili usawazishe midhambi ya polisi wenu.
 
...mmmh!...nadhan hapa nimepotea njia...nimesikia makelele,nimesogea karibu kusikiliza nini kinaongelewa,kumbe ni magamba yapiga domo..."MAGUNIA NI MAGUNIA TU"...
 
Ni hatari saana upuuzi huu ktk mambo yaliyogharimu uhai wa watu, Ni vizuri tukawa na haya muda mwingine
 
Bwana ZOMBA, jaribu kutumia akili yako hata kidogo.
Hapo kwenye RED nakushauri uache ujinga. Mwangosi si MPENZI WA CHADEMA. Kuwepo kwake kwenye mkutano wa CHADEMA ni katika kutimiza majukumu yake ya UANDISHI WA HABARI.

Ally Singano hakuwa kwenye mkutano. Kwa mujibu wa Policcm, aliangukiwa na 'flying object' mita 300 kutoka maandamano yalipokuwepo. Unafiki na kusda mbaya zinakufanya unakuwa mtungaji kiasi cha kulazimisha kuwa Ally Singano ni mpenzi wa CDM so as Mwangosi.

Kuhusu maslahi ya kisiasa, what is wrong if the answer is YES? CDM is a political party. We are doing politics. Kama hujui siasa hutajua maana yake. Shida ni kwamba, hukuwa na mchango wa ku-address kwenye mada kuu sasa unatafutatafuta kajineno angalau ka kuipaka matope CDM ili usawazishe midhambi ya polisi wenu.

Point nzuri sana, kama wote si wapenzi wa chadema, vipi mmoja aenziwe mmoja asahauliwe? hapo sasa!
 
Ni hatari saana upuuzi huu ktk mambo yaliyogharimu uhai wa watu, Ni vizuri tukawa na haya muda mwingine

Umeshasema "uhai wa watu", mbona mmoja kasahauliwa, ni ubaguzi au maslahi ya kisiasa?
 
Mbona hii thread inajadiliwa na watu wachache tu tena wale wale kwa majibizano? Je hawa wapo family 1 sebleni ila kila mtu ana laptop yake!

Hongereni........
 
Katika Mikoa tofauti na hekaheka za kisiasa za CHADEMA kumetokea vifo viwili ambavyo vyote vimehusishwa na Polisi kwanjia moja nyingine.

Vifo hivyo ni vya watu wenye fani zinazotegemeana, mmoja ni Mwandishi wa habari za magazetini na mmoja ni muuza magazeti. Wote hao ni wadau wakuu wa magazeti na wote hao ni wapenzi wa Chadema.

Cha kushangaza ni pale tunapoona mmoja kapata kila aina ya huruma kuanzia viongozi wa chadema mpaka wanaharakati wa hakiza binaada na "exposure" iliyotukuka kwenye TV, magazeti, maandamano, wana harakati, michango ya maziko, michango kwa aliowaacha, ahadi za kutazamwa familia yake na hata kusomeshwa wanawe na mwingine akisahauliwa kabisa.

Tumeona maziko ya mmoja ya kiongozwa na Viongozi wa Kitaifa wa chadema na kurushwa kwenye magazeti na kwenye mitandao, mwengine yule sijui hata kama alijulikana kazikwa wapi.

Watu hao ni:

Ally Singano - Muuza Magazeti
Daudi Mwangosi- Mwandishi wa magazeti.

Jee, ni Ubaguzi au Maslahi ya Kisiasa?

Observation yako nzuri maana umeiangalia kwa uamini zaidi ila na mie naweza nikaingalia issue mbili kwa mtazamo mwingine. Ni kweli vifo vyote vimetokana na M4C kuwepo katika maeneo husika lakini ukiangalia mazingira ya vifo utagundua kwamba kifo cha mwandishi muuaji ni kama anajulikana kutokana na picha zinavyojionyesha pamoja na maelezo ya waandishi waliokuwepo eneo la tukio ambao walijaribu kuzuia lakini wauaji walikomaa na kuendelea kumpiga (hivyo kwa kitendo hiki kilivuta attention si kwa viongozi wa CDM tu bali watanzania wengi kwa ujumla kiasi kwamba ilikuwa gumzo kila sehemu. Ukija kwenye kifo cha muuza magazeti kwanza aliemuua hakujulikana hivyo hata mazingira ya kifo chake yalikuwa ni upande wa polisi wanasema CDM na CDM wanasema ni polisi'

Kwahiyo ukiangalia mazingira ya hivyo vifo utaona vitu vingi vinafanyika kutokana na attention ya vyombo vya habari maana ilikuwa story wiki hii iliyoisha hivyo kila aliekuwepo eneo la tukio ilibidi ahudhurie kutokana na kuwepo na utaratibu wa kimakundi wa kuelekea huko, pia hata Morogoro CDM walitoa tamko wakasema wanangalia uwezekano wa kama mazishi yatafanyika Morogoro watahudhuria lakini kama watasafirisha basi wawakilishi wao wa wilaya husika watashiriki.
 
Mwangosi was a journalist ... RIP

What is a "journalist"? Do you know the meaning of journal? pata darsa kidogo:

jour·nal/ˈjərnl/

Noun:

  1. A newspaper or magazine that deals with a particular subject or professional activity.
  2. A daily record of news and events of a personal nature; a diary.
Synonyms:magazine - diary - newspaper - periodical - paper
More info »Wikipedia - Dictionary.com
 
Mbona hii thread inajadiliwa na watu wachache tu tena wale wale kwa majibizano? Je hawa wapo family 1 sebleni ila kila mtu ana laptop yake!

Hongereni........

Nawewe si mwanafamilia pia, au?
 
Nakubaliana na unachosema, ndio maana RPC alipofika kwenye tukio alisema "hapa hakuna kiongozi wa kitaifa, wale watoto siyo viongozi wa kitaifa". Ukijiuliza RPC alijuaje nani yupo na nani hayupo wakati milango ya ofisi za CDM ilikuwa imefungwa?!

Kuna picha zilionyesha askari kanzu alietangulia kuwepo kwenye lile tukio hata kabla FFU hawajafika. Bila shaka yeye na wengine waliinform system ipasavyo juu ya nani yupo na nani hayupo. Haya yote ni matukio ya kusikitisha kila litakalosemwa linaweza kuwa sahihi ingawa bila shaka lile la hivi karibuni lilikuwa la makusudi zaidi kuliko la Morogoro kama vielelezo vinavyoonyesha.
 
Rudi studio, hii sinema yako bado sana.
NB: daudi mwagosi hakuwahi kuwa mwandishi wa habari za magazetini.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom