ubadhirifu wa fedha Chuo cha mipango DODOMA (IRDP)

ASIKARI

Member
Oct 17, 2012
92
19
Ni chuo kilicho na ukiritimba,wizi wa fedha katika serikali ya wanafunzi na pia ni chuo kinacho ongozwa kwa ubabe wa MAKAMO MKUU WA CHUO TAALUMA Mr ZILIONA. Chuo hiki kimekuwa kikitafuna fedha ya serikali ya waanafunzi, hakitoi taarifa ya matumizi katika bunge la wanafunzi...sasa mbaya zaidi ni baadhi ya sheria zisizo na miguu wala kichwa kama WAKINA DADA KUTO SUKA WI ING nk. Chuo kimekuwa kikitunga na kuweka sheria bila kupitishwa katika bunge la wanafunzi.
 
hao majamaa nawajua saaana tena we acha tu kwanza ili upate kazi ni lazima uwe msukuma au wa kanda ya ziwa na huyo zilihona ndo balaa kabisa utafikiri mama yake ndo alikianzisha hicho, kuna wakati alifukuza uongozi mzima wa serikali ya wanafunzi kisa eti aliechaguliwa bw. Dukho mayenga ana asili ua uchadema duh. kinatakiwa kimulikwe vizuri sana
 
hao majamaa nawajua saaana tena we acha tu kwanza ili upate kazi ni lazima uwe msukuma au wa kanda ya ziwa na huyo zilihona ndo balaa kabisa utafikiri mama yake ndo alikianzisha hicho, kuna wakati alifukuza uongozi mzima wa serikali ya wanafunzi kisa eti aliechaguliwa bw. Dukho mayenga ana asili ua uchadema duh. kinatakiwa kimulikwe vizuri sana

Nakubaliana na wewe, chuo cha mipango kwa sasa kinakosa hadhi kama ya zamani, licha ya ukabila uliopo katika kuajili bado kuna matatizo makubwa hasa baada ya uongozi wa Zilhona kuingia madarakani, kumekua na maamuzi ya kulala na kuibuka bila kufuata taratibu, imetokea mara nyingi wanafunzi wakiwa darasani wanafanya mtihani, Zilhona huwa akimkuta msichana amesuka nywele za bandia (rasta) anamtoa nje ya chumba cha mtihani na kumtaka aandike barua ya maelezo, hali ambayo inachangia sana katika kushusha uwezo wa mtu katika kufanya mtihani husika.

Pia nakumbuka mwaka mmoja uliopita kilikaa mwaka mzima bila kuwa na serikali ya wanafunzi, pia zilhona alipiga marufuku hata "Welcome first year" pasipo kuonesha kuwa fedha ambazo zingetumika kwa sherehe hiyo zimefanya kazi gani, kiufupi ni kuwa kama ni ubadhilifu na sheria za kushtukiza mipango ndo mahali pake.
 
Hicho chuo cha mipango lakini dgree zake zingine hata sio za kimipango
 
Yule Zilihona na Kigugumizi chake kile ni mbabe tangu hata hajapewa hicho cheo, wakati ule alikuwa HOD Research and Consultancy. Wanaosoma pale wanajuta, naambiwa over seminari
 
Ni mtu asiyejua anatakiwa kufanya nini na cheo chake. Sasa mtu mzima anafanya kazi za matron na matron atafanya kazi za wafagizi kabisa.
Yule jamaa inaonyesha kile cheo kakitafuta mda mrefu sasa kakipata.
 
tuwe makini na hoja zetu ... ni vema tukaongea yenye evidence kuliko kukurupuka tu.....au kuna mambo mengine ya ubinafsi...hebu muogopeni mungu au nyie ndo mwatak kuharibu chuo cha watu..... kama mtu huajridhika na mabadiliko ni vema utafute sehemu nyingine kwa vile umesoma
 
Tatizo la wabongo bwana ni ikiwa jua shida ..baridi shida..na ndo mana hatuendelei..necta wamefeli shida ..haya na imefika mipango sasa...mnataka nini.... tuwe wastarabu na tusitumie jukwaa hili kutukana watu..tutoe michango ya kujenga jamani. Kutaja majina ya watu ni sumu ... kuna watu humu hata lugha zao zinafahamika..ukisoma tu unajua huyu fulani..tuliza jazba hiyo ..itacucost maisha. Heshimu elmu yako na utumie kwa familia yako. yamefika sasa mipango...
 
Chuo cha mipango ni chuo knachoheshimika sasa Tanzania..kwa kuwa makini na product..wanafunzi wake hawana muda wa kuzurura mjini...mnataka nyie wa mipango muwe kama wenzenu ..tunzeni hiyo tunu...au ndo mabadiliko hayo naskia ya uongozi yanakuja ..au kuna watu wanataka veyo hapo mwaanza kutafuta uchawi..cheo ni dhamana..tafute ukweli, haki, amani na watu wote..uongozi unatoka kwa mungu na si wa kuloby....mbaya uongozi si wa kulala kuota jamani..kama mungu kapanga utakuwa kiongozi tu..tumieni jina la chuo vizuri ..msije kikimbia tena ..na mkaoeneana aibu....
 
jamani nisaidieni..hili lmekuwa sugu bongo..watu wanaenda kwa waganga ili wawe mabosi angali elmu ni butu ..imefikia watu wananuniana kisa tu hajapewa cheo..au alikwenda kusoma karudi anataka cheo angali wapo wenye elimu kubwa tu na wengine ni mad dr ...je hili ni haki...hili lipo sana vyuo vikuu sasa..mtu ana masters tu anataka cheo naye awe mkuu wa chuo...hebu jamani tusidharirishe elmu...yale yale ya NECTA.....KUFELISHA TU SASA..UNAONGEA NA DRS AND PROFS WEWE UNA KAMASTERS JAMANI KA SOCIOLOGY, PUBLIC ADM ....JE NI HAKI NYIE AMBAO MMESOMA HAD MA DRS AND PROFESORI
 
jamani nisaidieni..hili lmekuwa sugu bongo..watu wanaenda kwa waganga ili wawe mabosi angali elmu ni butu ..imefikia watu wananuniana kisa tu hajapewa cheo..au alikwenda kusoma karudi anataka cheo angali wapo wenye elimu kubwa tu na wengine ni mad dr ...je hili ni haki...hili lipo sana vyuo vikuu sasa..mtu ana masters tu anataka cheo naye awe mkuu wa chuo...hebu jamani tusidharirishe elmu...yale yale ya NECTA.....KUFELISHA TU SASA..UNAONGEA NA DRS AND PROFS WEWE UNA KAMASTERS JAMANI KA SOCIOLOGY, PUBLIC ADM ....JE NI HAKI NYIE AMBAO MMESOMA HAD MA DRS AND PROFESORI

yaan watu wengine kweli bado wanatumia MASABURI kufikiria hivi unajua ni gharama gani zilihona amekiingiza chuo kutokana na misimamo yake ya kijinga, ni mara mia bora mdendemi kuliko zilihona nakuambia coz nilikua hapo na najua yooote kuanzia namna wanavyohonga tume ya ajira ili intavyuu zao zifanyikie pale ili akina Kwalu Dede na wasukuma wengine waingie ki ubwete hlo je wewe hulifahamu au? au unajua ni kwa nini yule mhaya alifukuzwa pale nalo pia hufahamu, kama na wewe una akili je suala la michezo ambalo kipindi hiko tulikua tunapewa mpaka basi siku hizi imekuaje hebu waulize baba zako wakuambie
 
Nakubaliana na wewe, chuo cha mipango kwa sasa kinakosa hadhi kama ya zamani, licha ya ukabila uliopo katika kuajili bado kuna matatizo makubwa hasa baada ya uongozi wa Zilhona kuingia madarakani, kumekua na maamuzi ya kulala na kuibuka bila kufuata taratibu, imetokea mara nyingi wanafunzi wakiwa darasani wanafanya mtihani, Zilhona huwa akimkuta msichana amesuka nywele za bandia (rasta) anamtoa nje ya chumba cha mtihani na kumtaka aandike barua ya maelezo, hali ambayo inachangia sana katika kushusha uwezo wa mtu katika kufanya mtihani husika.

Pia nakumbuka mwaka mmoja uliopita kilikaa mwaka mzima bila kuwa na serikali ya wanafunzi, pia zilhona alipiga marufuku hata "Welcome first year" pasipo kuonesha kuwa fedha ambazo zingetumika kwa sherehe hiyo zimefanya kazi gani, kiufupi ni kuwa kama ni ubadhilifu na sheria za kushtukiza mipango ndo mahali pake.

:msela::msela::msela:



hataki wigi? au mnamsingizia!

Huyu zilihona mbona ndiye nambaone kwa vimwana? anawachambua wafanyakazi wake kama karanga! Hili liko bayana! sio siri hadi vitoto vya under 20yrs. Muulizeni Ngeze!



Nikweli kabisa. ajira za chuo hiki ni kizunguzungu kuna watu wanafundisha parttime kwa sasa hata sisi tuliosoma nao tunashangaa walipataje kazi hizo? walikuwa watuwa kawaida tu kitaaluma lakini wanafundisha!

Chuo cha Mipango kweli ni Pango na soon litakuwa pango la Vilaza!
Ajira hadi ujuane na mtu wa hapo chuoni tena the top 3 au mkuu wa idara.

Wahusika milikeni hili pamejaa watoto wa wastaafu ana wanzilishi wa chuo akina sungura wanafanya kazi gani pale kwa qualification ipi. Zilihona kawaweka nduguze na wake zako eti wako idarani kama maafisa mitihani hata execel hawajui shangaa wanafanyaje kazi?

Subirini madudu mengi yataibuliwa soon!

Walimu walio compentent na wasio mnyenyekea tunaambiwa anawaandama sana. Yeye anataka kunyeyekewa kama nani?

Niwaulizi nyie wasomi Zilihona ni Professor wa mambo gani? mbona kama vile hajaelimika?

Najaribu ku googlee sioni makala zake! Wadau tupeni CV yake tafadhali!

Nawasilisha:hand:
 
Ukisoma mawazo ya wengi wano chnagia utajua ni aina ya gani ya watu wanaoandika..anyway...huku duniani vitu haviendi kwa majungu bali kwa haki, usawa na weledi....siku zote sari sana uwe mtenda HAKI..usipende kuwa mtu wa kutaka mambo amabyo mungu hajakuambia...nili watahadharisha kutumia majina ya watu humu kwani yanaleta picha mbaya..kwaza inaonekana jinsi gani kuwa kuna watu wanataka kitu fulani kwa majungu na unafiki...jamani..Mungu ndiye mwamuzi wa yote..jamii forum ni ya jukwaa la kila mawazo ..utumbo, mazuri, nk. lakini siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli. lakini nashangaa hii TZ wabaya huwa hawafi ..huyu Mungu sijui kwanini..wema huwa hawadumu...... .Nina mifano mingi ..kuna bosi mmoja amepigwa vita sana lakini wengi wamekufa yeye mzima. sali sana upate kiongozi amabye ataleta tija kwa taifa. kiongozi sio wa kutaka sifa kuwa yeye mzuri kiongozi ambaye atasukuma mambo. Tanzania ya leo inahitaji viongozi wenye kuchukua maamuzi magumu..kulisukuma gurudumu mbele. Tatizo watu tumejijengea fikrA ZA UMIMI, UBINAFSI NK. UNAJUA BWANA, MWANADAMU NI KAMA KINYONGA....HAKUNA SIKU ALIYOSEMA HAPO SAWA. HADI AENDE KABURINI. NA NDO MAANA WATU WANAJIJENGEA MAZINGIRA MAGUMU MAKAZINI , KWENYE FAMILIA ZAO NA HATA KUTOLUWA NA MAENDELEO YAO BINAFSI. TULIPO HAPA SIDHNI KAMA TUNAMUDA WA KUANZA KUSEMA HERI M ANAFAA KULIUKO Z WEWE WEWE...ACHA UTOTO HUO....SIKU ITAFIKA UTAJUA TU NANI. TUANGALIE TUSIJENGE UHASAMA..TUKAANZA KUKIMBIA MAHALI PA KAZI. JIFUNZENI WENZENU WAMEPUKUPTIKA KMA MBELEWELE..NA WATU WANADUNDA..WALIWANYOSHEA HADI VIDOLE MACHONI LAKINI WAPO NA WAO WAMETOWEKA ..ANGALIENI ..MTATOWEKA HATA HUKO MLKO..MSIPENDE INGILIA MAISHA YA WATU NDUGU ZANGU. ISHI KWA KUHESHIMU MILA NA DESTURI , HESHIMA WENZAKO, FATA TARATIBU, TEKELEZA MAJUKUMU YAKO. HAYA ..YETU MACHO....

MIPANGO YA ZAMANI NI BORA …KWELI WEWE KICHWA MAJI AISE… WAKATI HAKUNA HATA DR 1 NI BORA KULIKO YA SASA...HILI NI SAWA NA KUFELI KWA NECTA .....NDO UTAJUA WALIMU MLIOPO HAPO JINSI GANI HAMJITAMBUI..KWA HIYO HATA WEWE NAWE KUMBE HUFAI ....AU KWA VILE HUJAPEWA BASI LA MICHEZO, AU KWA VILE UMEAMBIWA UVAE VIZURI KAMA MAADILI YA KAZI...HALAFU SOMENI MADILI YA UTUMISHI.. TUTACHEKWA KUTOA HOJA . MFU MBELE ZA WATU...ACHANA NA UPUUZI HUO...FATA MAISHA YAKO..FANAYA KAZI ILI MTU ASIJE CHUKUA KISINGIZIO KUWA MZEMBE..AKUTAFUTE KWA LINGINE NDUGU YANGU..YANA MWISHO HAYA… JISAFISHE KWANZA KABLA HUJAANZA SEMA WATU….JE UKOJE..FAMILA YAKO UNAIMUDU… MTU WA NAMNA HI HATA KWENYE FAMILA YAKE NI MIGOGORO..UNALALMIKA KAMA HUNA UHAKIKA NA ELMU YAKO….ULISOMA CHUO GANI WEWE….AU ULIPEWA HIYO DEGREE.. TOA MAONI YENYE MANTIKI….USIJAE JAZBA TU..KWENYE WATU WENGI JAZBA, KWA MKEO JAZBA..SIKO ZOTE JAZBA..HUJIAMINI MAISHA YAKO WEWE….ANGALIA RAFIKI……WATU WANAKUMULIKA KWA KAULI ZAKO ZA AJABU HIZO NA WAMESHAJUA NYIE MNAOWEKA HIZI POST ZA KUTUSI WATU. HAYA ENDELEENI.
 
"JIFUNZENI WENZENU WAMEPUKUPTIKA KMA MBELEWELE..NA WATU WANADUNDA..WALIWANYOSHEA HADI VIDOLE MACHONI LAKINI WAPO NA WAO WAMETOWEKA ..ANGALIENI ..MTATOWEKA HATA HUKO MLKO..MSIPENDE INGILIA MAISHA YA WATU NDUGU ZANGU."

ISSSHHHHIIIIIII ,,,,,.... ( kwa watani wetu wa kisukuma ni alama ya mshangao. au sio watani?)

Nkambi acha kutishia watu kifo, kufa booongo?? kufa ulaya bhana. kwani wakifa inakuuma nini wewe au unaona uchungu kutoa karambi rambi kakooo??? watu wamejilia gambe (UJIMBI) mpaka waka danja(wakafa) useme walilaaniwa. acha kuamini ushirikina labda kama ulihusika na kutoweka kwao. We acha watu watoe ya moyoni bhanaa " FIRIDOMU OFU SIPICHI. WEWE MWENYEWE HUJAANDIKA JINA LAKO, ALAFU UNAJIKUTA STERINGI kutetea yaliyo ya kweli. nipotezee kama vp.

ene wei baki tu ze pointi

Ila langu ni dogo sana kuhusiana na kichwa cha habari UBADHIRIFU kuna ka kampuni kamoja kanaitwa "OWEKO" nahitaji ufafanuzi kidogo maana top 3 of mngt wapo, kliki hii webusaiti www.oweco.co.tz alafu nenda OUR CONSULTANTS ujionee kitengo cha utafiti wapo, na wengine wapo wapo kuzuga au kupetezea maboya wenye SIIVI ya mistari mitatu (3). Hv kazi za utafiti za chuo kitengo chake ni "OWEKOOOOO" au RISECHI DIPATIMENTIIII? au ndio kabranchi//????? au ndio ka TWISHENI cha depatimenti ya resechi?? na hii ni kwa manufaa ya wachache walio kwenye ka kampuni ketuUU au kwa chuoooo?. Mbona magari na NAITI za madereva kufuatilia shughuli za kakampuni ketu zinatoka chuoni? au huu ni umbea??? sasaa haka ka TWISHENI kanaifaidishaje chuo??? natarajia kuna marejesho kidogo kwaajili ya chuo kwa matumizi ya hz RISOSI, JE KINA MASLAHI YEYOTE KWA CHUO?. sijamtaja mtu lakini .........au sio Nkambi "nimetupa kajiwe kangu kundini litakalo mpata samahaniii" SITARAJII KUTOWEKA HATA NIKILOGWA.

illlaaaa sasa na nyinyi msio na Vi TWISHENI kwenye dipatimenti zenyu mliopo hapo MIPANGO, mbona mnang'ong'ona ng'ong'ona tu mtaani mpaka yametufikia na sisi tusiowalengwa na bahati mbaya hatuna siri wala dogo? mnanishangaza sana hamna pakuyasemea? mbona kama mna mbwela mbwela kulisema hili?? hapo chuoni hakuna hata masanduku ya maoni??? AU NDO MNAOGOPA KUFA KAMA ASEMAVYO MDAU ALIETANGULIA????

AM OUT FELLAZ. NI HAYO TUUUU..............
:boink::boink::boink: :mimba: :attention::attention::attention:
 
"JIFUNZENI WENZENU WAMEPUKUPTIKA KMA MBELEWELE..NA WATU WANADUNDA..WALIWANYOSHEA HADI VIDOLE MACHONI LAKINI WAPO NA WAO WAMETOWEKA ..ANGALIENI ..MTATOWEKA HATA HUKO MLKO..MSIPENDE INGILIA MAISHA YA WATU NDUGU ZANGU."

ISSSHHHHIIIIIII ,,,,,.... ( kwa watani wetu wa kisukuma ni alama ya mshangao. au sio watani?)

Nkambi acha kutishia watu kifo, kufa booongo?? kufa ulaya bhana. kwani wakifa inakuuma nini wewe au unaona uchungu kutoa karambi rambi kakooo??? watu wamejilia gambe (UJIMBI) mpaka waka danja(wakafa) useme walilaaniwa. acha kuamini ushirikina labda kama ulihusika na kutoweka kwao. We acha watu watoe ya moyoni bhanaa " FIRIDOMU OFU SIPICHI. WEWE MWENYEWE HUJAANDIKA JINA LAKO, ALAFU UNAJIKUTA STERINGI kutetea yaliyo ya kweli. nipotezee kama vp.

ene wei baki tu ze pointi

Ila langu ni dogo sana kuhusiana na kichwa cha habari UBADHIRIFU kuna ka kampuni kamoja kanaitwa "OWEKO" nahitaji ufafanuzi kidogo maana top 3 of mngt wapo, kliki hii webusaiti www.oweco.co.tz alafu nenda OUR CONSULTANTS ujionee kitengo cha utafiti wapo, na wengine wapo wapo kuzuga au kupetezea maboya wenye SIIVI ya mistari mitatu (3). Hv kazi za utafiti za chuo kitengo chake ni "OWEKOOOOO" au RISECHI DIPATIMENTIIII? au ndio kabranchi//????? au ndio ka TWISHENI cha depatimenti ya resechi?? na hii ni kwa manufaa ya wachache walio kwenye ka kampuni ketuUU au kwa chuoooo?. Mbona magari na NAITI za madereva kufuatilia shughuli za kakampuni ketu zinatoka chuoni? au huu ni umbea??? sasaa haka ka TWISHENI kanaifaidishaje chuo??? natarajia kuna marejesho kidogo kwaajili ya chuo kwa matumizi ya hz RISOSI, JE KINA MASLAHI YEYOTE KWA CHUO?. sijamtaja mtu lakini .........au sio Nkambi "nimetupa kajiwe kangu kundini litakalo mpata samahaniii" SITARAJII KUTOWEKA HATA NIKILOGWA.

illlaaaa sasa na nyinyi msio na Vi TWISHENI kwenye dipatimenti zenyu mliopo hapo MIPANGO, mbona mnang'ong'ona ng'ong'ona tu mtaani mpaka yametufikia na sisi tusiowalengwa na bahati mbaya hatuna siri wala dogo? mnanishangaza sana hamna pakuyasemea? mbona kama mna mbwela mbwela kulisema hili?? hapo chuoni hakuna hata masanduku ya maoni??? AU NDO MNAOGOPA KUFA KAMA ASEMAVYO MDAU ALIETANGULIA????

AM OUT FELLAZ. NI HAYO TUUUU..............
:boink::boink::boink: :mimba: :attention::attention::attention:




dah sasa hayo yana tofauti gani na yule muhando wa TANESCO ambae aliwapa tenda wanae ya kuleta stationary katika TANESCO duh hii noma ila nimeshangaa kukuta mpaka lifuliro aisee namuheshimu sana mkuu yule nashangaa nae kaingia katika ufisadi ngoja nitafute ile kamati ya mashirika ya umma maana hapa wameandika hivi

Optimal Welfare Consultants (OWECO) is a private Tanzanian consultancy company established with the registration number 90906 and incorporated under the Companies Act of 2002 and that the Company is Limited. It is a semi- profit firm with the primary focus of providing consultancy services in a wide range of development planning and management areas such as health, education , environment, land, finance and economic development, water, trade, agriculture, livestock, forest, tourism, technological development, social protection and mining sectors. The company is envisaged to provide training, conduct research and policy/strategic analysis/reviews and carry out other advisory functions in the above specified areas. OWECO uses participatory approaches, models and tools and advanced technology to provide optimal services to clients. The head office of the company is located in Dodoma Urban.

sasa kama ni private company kwann itumie mali za chuo????
 
Ukisoma mawazo ya wengi wano chnagia utajua ni aina ya gani ya watu wanaoandika..anyway...huku duniani vitu haviendi kwa majungu bali kwa haki, usawa na weledi....siku zote sari sana uwe mtenda HAKI..usipende kuwa mtu wa kutaka mambo amabyo mungu hajakuambia...nili watahadharisha kutumia majina ya watu humu kwani yanaleta picha mbaya..kwaza inaonekana jinsi gani kuwa kuna watu wanataka kitu fulani kwa majungu na unafiki...jamani..Mungu ndiye mwamuzi wa yote..jamii forum ni ya jukwaa la kila mawazo ..utumbo, mazuri, nk. lakini siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli. lakini nashangaa hii TZ wabaya huwa hawafi ..huyu Mungu sijui kwanini..wema huwa hawadumu...... .Nina mifano mingi ..kuna bosi mmoja amepigwa vita sana lakini wengi wamekufa yeye mzima. sali sana upate kiongozi amabye ataleta tija kwa taifa. kiongozi sio wa kutaka sifa kuwa yeye mzuri kiongozi ambaye atasukuma mambo. Tanzania ya leo inahitaji viongozi wenye kuchukua maamuzi magumu..kulisukuma gurudumu mbele. Tatizo watu tumejijengea fikrA ZA UMIMI, UBINAFSI NK. UNAJUA BWANA, MWANADAMU NI KAMA KINYONGA....HAKUNA SIKU ALIYOSEMA HAPO SAWA. HADI AENDE KABURINI. NA NDO MAANA WATU WANAJIJENGEA MAZINGIRA MAGUMU MAKAZINI , KWENYE FAMILIA ZAO NA HATA KUTOLUWA NA MAENDELEO YAO BINAFSI. TULIPO HAPA SIDHNI KAMA TUNAMUDA WA KUANZA KUSEMA HERI M ANAFAA KULIUKO Z WEWE WEWE...ACHA UTOTO HUO....SIKU ITAFIKA UTAJUA TU NANI. TUANGALIE TUSIJENGE UHASAMA..TUKAANZA KUKIMBIA MAHALI PA KAZI. JIFUNZENI WENZENU WAMEPUKUPTIKA KMA MBELEWELE..NA WATU WANADUNDA..WALIWANYOSHEA HADI VIDOLE

MACHONI LAKINI WAPO NA WAO WAMETOWEKA ..ANGALIENI ..MTATOWEKA HATA HUKO MLKO..MSIPENDE INGILIA MAISHA YA WATU NDUGU ZANGU. ISHI KWA KUHESHIMU MILA NA DESTURI , HESHIMA WENZAKO, FATA TARATIBU, TEKELEZA MAJUKUMU YAKO. HAYA ..YETU MACHO....

MIPANGO YA ZAMANI NI BORA …KWELI WEWE KICHWA MAJI AISE… WAKATI HAKUNA HATA DR 1 NI BORA KULIKO YA SASA...HILI NI SAWA NA KUFELI KWA NECTA .....NDO UTAJUA WALIMU MLIOPO HAPO JINSI GANI HAMJITAMBUI..KWA HIYO HATA WEWE NAWE KUMBE HUFAI ....AU KWA VILE HUJAPEWA BASI LA MICHEZO, AU KWA VILE UMEAMBIWA UVAE VIZURI KAMA MAADILI YA KAZI...HALAFU SOMENI MADILI YA UTUMISHI.. TUTACHEKWA KUTOA HOJA . MFU MBELE ZA WATU...ACHANA NA UPUUZI HUO...FATA MAISHA YAKO..FANAYA KAZI ILI MTU ASIJE CHUKUA KISINGIZIO KUWA MZEMBE..AKUTAFUTE KWA LINGINE NDUGU YANGU..YANA MWISHO HAYA… JISAFISHE KWANZA KABLA HUJAANZA SEMA WATU….JE UKOJE..FAMILA YAKO UNAIMUDU… MTU WA NAMNA HI HATA KWENYE FAMILA YAKE NI MIGOGORO..UNALALMIKA KAMA HUNA UHAKIKA NA ELMU YAKO….ULISOMA CHUO GANI WEWE….AU ULIPEWA HIYO DEGREE.. TOA MAONI YENYE MANTIKI….USIJAE JAZBA TU..KWENYE WATU WENGI JAZBA, KWA MKEO JAZBA..SIKO ZOTE JAZBA..HUJIAMINI MAISHA YAKO WEWE….ANGALIA RAFIKI……WATU WANAKUMULIKA KWA KAULI ZAKO ZA AJABU HIZO NA WAMESHAJUA NYIE MNAOWEKA HIZI POST ZA KUTUSI WATU. HAYA ENDELEENI.
hapo PCCB hutawasikia wamekamata mtu, wanakamata wanaokula sh. 500 walimu tu
 
dah sasa hayo yana tofauti gani na yule muhando wa tanesco ambae aliwapa tenda wanae ya kuleta stationary katika tanesco duh hii noma ila nimeshangaa kukuta mpaka lifuliro aisee namuheshimu sana mkuu yule nashangaa nae kaingia katika ufisadi ngoja nitafute ile kamati ya mashirika ya umma maana hapa wameandika hivi

optimal welfare consultants (oweco) is a private tanzanian consultancy company established with the registration number 90906 and incorporated under the companies act of 2002 and that the company is limited. It is a semi- profit firm with the primary focus of providing consultancy services in a wide range of development planning and management areas such as health, education , environment, land, finance and economic development, water, trade, agriculture, livestock, forest, tourism, technological development, social protection and mining sectors. The company is envisaged to provide training, conduct research and policy/strategic analysis/reviews and carry out other advisory functions in the above specified areas. Oweco uses participatory approaches, models and tools and advanced technology to provide optimal services to clients. The head office of the company is located in dodoma urban.

sasa kama ni private company kwann itumie mali za chuo????













nimekubali kuwa jf ni mahala ambapo wanazuoni wanapata fursa ya kuwasilisha mawazo yao kwa uhuru mkubwa sana na bila woga wa aina yeyote ile. Awali ya yote nampongeza muanzilishi wa post hii na wengine wote waliochangia katika post hii. Hii inaonyesha kuwa watanzania tumefika mahali pazuri sana katika kutoa maoni kwa uwazi japo wote tunaficha majina yetu ya asili lakini si mbaya sana cha muhimu ni kufikisha ujumbe stahiki kwa waheshimiwa.

Kila mtu kwa mchango wake ni muendelezo wa dhana thabiti katika kuchangia utatuzi wa matatizo yetu lukuki ya kiuongozi na kimfumo lakini tujiulize kuna hatua stahiki zinaweza kuchukuliwa kupitia post hii ili tuweze kukabilaiana na changamoto zilizopo?sisi wanajf amabo ni critical thinker tujipongeze sana kwa kuongelea watu kuliko maswala muhimu ya irdp.

Mwanzilishi wa post hii na sisi wachangiaji wote nawashauri tuchukue hatua sasa ili kuinusu hali hii kwa chuo chetu.


Namshukuru pia mlau kwa kutujuza kuhusiana na vituition mbalimbali vilivyopo irdp. Tujiulize yafuatayo?
Hivi vituition vilivyopo irdp kama oweko vimeanzishwa kinyume cha sheria za nchi?je sheria za nchi zinakataza kuwa navyo au zinakatazwa kwa mzee lifulilo, mdendemi na huyo prof zilihona kuwepo?je kama sisi tunajua wanatumia mali za chuo kwa kampuni binafsi tuchukue hatua mapema kabla mambo hayajaharibika.


Vituition pale irdp vipo vingi sana zaidi ya kutumia mali za chuo vipo vingi vinatumia muda wa chuo kutekeleza majukumu ya hivyo vituition. Kwa mfano:

Sikiliza project wanatumia muda wa muajiri irdp lakini chuo kinafaidika kiasi gani?pia kuna rucodia, cordema, don consultants na wengine tuko busy na biashara binafsi nje na ndani ya irdp bado wanaendelea.

Kiufupi naomba wahusika wafuatilie haya mambo ili kusiwe na muingiliano wa maslahi katika masuala haya.
 
Back
Top Bottom