ubadhirifu wa fedha Chuo cha mipango DODOMA (IRDP)

Chuo cha mipango ni chuo knachoheshimika sasa Tanzania..kwa kuwa makini na product..wanafunzi wake hawana muda wa kuzurura mjini...mnataka nyie wa mipango muwe kama wenzenu ..tunzeni hiyo tunu...au ndo mabadiliko hayo naskia ya uongozi yanakuja ..au kuna watu wanataka veyo hapo mwaanza kutafuta uchawi..cheo ni dhamana..tafute ukweli, haki, amani na watu wote..uongozi unatoka kwa mungu na si wa kuloby....mbaya uongozi si wa kulala kuota jamani..kama mungu kapanga utakuwa kiongozi tu..tumieni jina la chuo vizuri ..msije kikimbia tena ..na mkaoeneana aibu....
:rockon::rockon:umejiunga lini jamii forum napata shaka nahisi wewe ni huyo ziliona. uwe mkweli jamii forum ni mtambo wa kujirekebisha ningekuwa wewe ningebadili identity ili nipate mbinu za kujirekebisha. shame on you na wengine wote wadanganyifu.:high5:
 
dah sasa hayo yana tofauti gani na yule muhando wa TANESCO ambae aliwapa tenda wanae ya kuleta stationary katika TANESCO duh hii noma ila nimeshangaa kukuta mpaka lifuliro aisee namuheshimu sana mkuu yule nashangaa nae kaingia katika ufisadi ngoja nitafute ile kamati ya mashirika ya umma maana hapa wameandika hivi

Optimal Welfare Consultants (OWECO) is a private Tanzanian consultancy company established with the registration number 90906 and incorporated under the Companies Act of 2002 and that the Company is Limited. It is a semi- profit firm with the primary focus of providing consultancy services in a wide range of development planning and management areas such as health, education , environment, land, finance and economic development, water, trade, agriculture, livestock, forest, tourism, technological development, social protection and mining sectors. The company is envisaged to provide training, conduct research and policy/strategic analysis/reviews and carry out other advisory functions in the above specified areas. OWECO uses participatory approaches, models and tools and advanced technology to provide optimal services to clients. The head office of the company is located in Dodoma Urban.

sasa kama ni private company kwann itumie mali za chuo????


IRDP KUNA KAMPUNI NYINGI SANA NA HATA PROJECTS PIA AMBAZO WANATUMIA RASLIMALI ZA CHUO NA PIA MUDA WA MWAJIRI KATIKA KUFANYA MAMBO BINAFSI. KUNDI KUNDI LA WAFANYAKAZI MUDA WA KAZI WAO WANASIMAMIA BIASHARA ZAO WAKATI WANGETAKIWA KUWA KAZINI. NAOMBA KUTAJA:
1. OWEKO inajumuisha akina Zilihona, Lifulilo, Mdendemi na WENGINE WENGI
2. RUCORDIA hII KAMPUNI INAJUMUISHA AKINA DR. NJAU na watu wengi sana kama akina Dr. Sebyiga
3. CORDEMA hapa yupo MGABO na wenzake
4.SIKILIZA PROJECT hapa yupo Dr. Kamanzi ambaye kila siku anasafiri na hafanyi kazi kama alivyoajiliwa
5. Kampuni ya akina Dr. Msaki na wenzake
6. Kampuni ya akina Prof. Katega na wenzake
7. DON CONSULTANCY COMPANY hii ni ya Ndugu Andrew Komba na wenzake
8. Kundi la wahadhiri wasio kuwa na kampuni lakini wanafanya hizi consultancy kwa kutumia muda wa chuo bila kulipa chochote kwa mfano wapo akina Dr. Kilobe, Ndiwaita, Dr. Timothy, Dr. Nyankweli na wengine wengi sana

Hii ni mifano michache tu ya jinsi mali na muda wa mwajiri unatumika kwa manufaa ya watu binafsi na si Chuo kwa ujumla
 
mie naona kuna haja ya ile kamati husika za bunge na wizara ziingilie kati suala la watu binafsi kutumia mali za chuo tena ukiangalia hata yale majengo haswa lile la hostel lilijengwa chini ya viwango tukalalamika sana lakn wapi na kuna bonge la nyufa pale katika hyo hostel ya sumaye na hakuna lolote mpaka mtu afe pale nakuambia angalia kwalu dede eti nae kapelekwa ghana kusoma watu wanasomaje pale mie nlifikiri ni first in ndo first served ila poa kitaeleweka tu
 
Ni chuo kilicho na ukiritimba,wizi wa fedha katika serikali ya wanafunzi na pia ni chuo kinacho ongozwa kwa ubabe wa MAKAMO MKUU WA CHUO TAALUMA Mr ZILIONA. Chuo hiki kimekuwa kikitafuna fedha ya serikali ya waanafunzi, hakitoi taarifa ya matumizi katika bunge la wanafunzi...sasa mbaya zaidi ni baadhi ya sheria zisizo na miguu wala kichwa kama WAKINA DADA KUTO SUKA WI ING nk. Chuo kimekuwa kikitunga na kuweka sheria bila kupitishwa katika bunge la wanafunzi.

Nashauri usome acha siasa chuoni!!! wahenga walishasema heri ya mmbea maana yeye hupeleka ujumbe bila kutumwa lakini wenye ukweli fulani kuliko Mwongo maana ni mfitinishi na huwa na ajenda maalumu kwa uongo wake"
 
IRDP KUNA KAMPUNI NYINGI SANA NA HATA PROJECTS PIA AMBAZO WANATUMIA RASLIMALI ZA CHUO NA PIA MUDA WA MWAJIRI KATIKA KUFANYA MAMBO BINAFSI. KUNDI KUNDI LA WAFANYAKAZI MUDA WA KAZI WAO WANASIMAMIA BIASHARA ZAO WAKATI WANGETAKIWA KUWA KAZINI. NAOMBA KUTAJA:
1. OWEKO inajumuisha akina Zilihona, Lifulilo, Mdendemi na WENGINE WENGI
2. RUCORDIA hII KAMPUNI INAJUMUISHA AKINA DR. NJAU na watu wengi sana kama akina Dr. Sebyiga
3. CORDEMA hapa yupo MGABO na wenzake
4.SIKILIZA PROJECT hapa yupo Dr. Kamanzi ambaye kila siku anasafiri na hafanyi kazi kama alivyoajiliwa
5. Kampuni ya akina Dr. Msaki na wenzake
6. Kampuni ya akina Prof. Katega na wenzake
7. DON CONSULTANCY COMPANY hii ni ya Ndugu Andrew Komba na wenzake
8. Kundi la wahadhiri wasio kuwa na kampuni lakini wanafanya hizi consultancy kwa kutumia muda wa chuo bila kulipa chochote kwa mfano wapo akina Dr. Kilobe, Ndiwaita, Dr. Timothy, Dr. Nyankweli na wengine wengi sana

Hii ni mifano michache tu ya jinsi mali na muda wa mwajiri unatumika kwa manufaa ya watu binafsi na si Chuo kwa ujumla

Kazi tunayo haswa ukikutana na watu kama wewe! kwetu tunawaita MBUMBU
 
Tatizo la wabongo bwana ni ikiwa jua shida ..baridi shida..na ndo mana hatuendelei..necta wamefeli shida ..haya na imefika mipango sasa...mnataka nini.... tuwe wastarabu na tusitumie jukwaa hili kutukana watu..tutoe michango ya kujenga jamani. Kutaja majina ya watu ni sumu ... kuna watu humu hata lugha zao zinafahamika..ukisoma tu unajua huyu fulani..tuliza jazba hiyo ..itacucost maisha. Heshimu elmu yako na utumie kwa familia yako. yamefika sasa mipango...

ni kweli kuna hoja katika ulichokiandika, lakini mtanzania ww unaitaji kubadilkika kmtizamo, elimu tuzpatazo co kwa ajili ya cc na familia ze2 2, kila m2 angefkri hvyo ww pia ucngefka hapo ulipo, kuna aja ya wa2 kuueleza umma juu ya upuuz unaoendelea sehem yeyote bila kujali umetokezea mara ngap
 
siyo kweli mbon pale chuoni kuna rafik zangu wachaga,wangoni,wagogo,wahaya...wataka kusema walibadilisha makabila yao wakajiita wasukuma???? is t possible kweli??? tuache ushabiki....ni mawazo yangu tu usijenge chuki
 
tuwe makini na hoja zetu ... ni vema tukaongea yenye evidence kuliko kukurupuka tu.....au kuna mambo mengine ya ubinafsi...hebu muogopeni mungu au nyie ndo mwatak kuharibu chuo cha watu..... kama mtu huajridhika na mabadiliko ni vema utafute sehemu nyingine kwa vile umesoma

Acha unafiki wewe...watu wanaongea ya dhati...we unalete unazi...ndio nyie mnaopewa ajira kwa upendeleo....! we mtu mzima na akili zake anathubutu kuingia kwenye vyumba vya mitihani na kuwapekeua kina dada nywele zao??? hivi hajui kama wengine ni wake za watu na wanapenda....wake zao wajipambe kwa mitindo wanyoitaka wao...yule jamaa hopeless kabixa.....uprofessor wa miti shamba
 
Nahis we utakuwa unasoma chet au diplo au kama degree utakuwa 1 year kwa ujumla wanafunz wa mipango hamna ushirikiano
 
ni kuishiwa tu kwa watu,udom mlisema uduni na huku nako ukabila!!!kazi hazipatikani kwa majungu!!!:smile-big::):evil::flypig:
 
Back
Top Bottom