Mbonafingi
Senior Member
- Apr 24, 2009
- 126
- 10
:rockon::rockon:umejiunga lini jamii forum napata shaka nahisi wewe ni huyo ziliona. uwe mkweli jamii forum ni mtambo wa kujirekebisha ningekuwa wewe ningebadili identity ili nipate mbinu za kujirekebisha. shame on you na wengine wote wadanganyifu.:high5:Chuo cha mipango ni chuo knachoheshimika sasa Tanzania..kwa kuwa makini na product..wanafunzi wake hawana muda wa kuzurura mjini...mnataka nyie wa mipango muwe kama wenzenu ..tunzeni hiyo tunu...au ndo mabadiliko hayo naskia ya uongozi yanakuja ..au kuna watu wanataka veyo hapo mwaanza kutafuta uchawi..cheo ni dhamana..tafute ukweli, haki, amani na watu wote..uongozi unatoka kwa mungu na si wa kuloby....mbaya uongozi si wa kulala kuota jamani..kama mungu kapanga utakuwa kiongozi tu..tumieni jina la chuo vizuri ..msije kikimbia tena ..na mkaoeneana aibu....