Nawaunga mkono wavunja muungano
chondechonde makanisa yetu jamani...sigeuzie hasira huko..sasa hivi nendeni mkachome kwa hao wanaowapiga mabomu
u nadhani jk awe makini. Ajue kanisa lishamuacha mkono. Na kura alizopata 2010 ni za waislam.habari zilizonifikia hv punde, uamsho wakisoma dua kwa ajili ya wahanga wa meli ya seagull iliyozama hapo jana wametawanywa kwa kupigwa mabomu na kikosi cha kutuliza ghasia ffu kwenye viwanja vya malindi mjini zanzibar.
Habari zilizonifikia hv punde, Uamsho wakisoma dua kwa ajili ya wahanga wa meli ya Seagull iliyozama hapo jana wametawanywa kwa kupigwa mabomu na kikosi cha kutuliza ghasia FFU kwenye viwanja vya malindi mjini Zanzibar.
Kwani wakiwaacha wazurule(waandamane)itakuwaje?
Habari zilizonifikia hv punde, Uamsho wakisoma dua kwa ajili ya wahanga wa meli ya Seagull iliyozama hapo jana wametawanywa kwa kupigwa mabomu na kikosi cha kutuliza ghasia FFU kwenye viwanja vya malindi mjini Zanzibar.
Lazma kunajambo,haiwezekani serikali ya CCM&CUF ifanye ivi.
VIONGOZI WA UAMSHO NA TAASISI NYENGINE WAKIWA NA VIONGOZI WA SMZ JANA MAISARA. LEO MABOMU.
hao watakuwa askari wametoka Bara na pengine jk anatakiwa amwangalie vizuri waziri wake wa Mambo ya Ndani. waislam ndio waliompa JK ushindi 2010 baada ya Wakiristo kumpigia DK SLAA. Waziri wa mambo ya ndani pengine bado anauchungu wa makanisa yao kuchomwa