Electron
Member
- Jul 3, 2012
- 92
- 49
Kwani jamaa walivunja amani??
Watakuwa wamekutana na kufanya halaiki bila kibali cha polisi........... hapo naona wamekosea kama ni dua tu kwa nini isifanywe masjid?
Kwani jamaa walivunja amani??
Picha kwa hisani ya mdau wa Twitter.
Hii sijaifurahia hata kidogo kama wamefanya hivyo!
mait 69 mdau????uziweke masjidi???,,,,,mara nyingi swalat jeneiza huswaliwa popote paleWatakuwa wamekutana na kufanya halaiki bila kibali cha polisi........... hapo naona wamekosea kama ni dua tu kwa nini isifanywe masjid?
Suluhu ya kweli ni Serikali 1 katika nchi 1 moja ya Tanzania
mait 69 mdau????uziweke masjidi???,,,,,mara nyingi swalat jeneiza huswaliwa popote pale
Duuu.....! Hv nchi hii tunaenda wapi?
Inasemekana ni askari wa Jamhuri ya Muungano ni vikosi vya KMKM vilivyovamia