meddie
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 434
- 125
Kati ya hawa ANNA ABDALLAH, ANNA MAKINDA NA KATE KAMBA sioni hata mmoja mwenye ubavu wa kuzuia matakwa ya MAFISADI yasitimizwe, ama kusimama kidete kama alivyosimama SITTA kupambana na ufisadi. Sitta alikabiliana na chuki, visa, vitisho na hata maisha yake kuwa hatarini sababu ya kuruhusu hoja binafsi na mjadala uliotoboa siri za mafisadi.
HONGERA SITTA KAZI YAKO NZURI ULIYOWAFANYIA WATANZANIA ITAKUMBUKWA DAIMA!!! sisiem na mafisadi hawakupendi sababu hukufanya kwaajili ya maslahi yao bali kwa ajili ya maslahi Watz, ndo maana wamekuangusha.
NASEMA HONGERA TENA KWA KUWEKA UTANZANIA MBELE NA SIYO USISIEM!!!
WATANZANIA NA MUNGU WAO WATASHINDA. MAFISADI WATASHINDWA NA KUAIBIKA TU !!!
HONGERA SITTA KAZI YAKO NZURI ULIYOWAFANYIA WATANZANIA ITAKUMBUKWA DAIMA!!! sisiem na mafisadi hawakupendi sababu hukufanya kwaajili ya maslahi yao bali kwa ajili ya maslahi Watz, ndo maana wamekuangusha.
NASEMA HONGERA TENA KWA KUWEKA UTANZANIA MBELE NA SIYO USISIEM!!!
WATANZANIA NA MUNGU WAO WATASHINDA. MAFISADI WATASHINDWA NA KUAIBIKA TU !!!