danilo silva
Member
- Oct 14, 2010
- 53
- 10
Sasa kwanini hakuwaambia wanaume wasiombe hiyo nafasi?
Lazima ana mkono wake hapo.Iko kazi, hao wa Masasi wawil ipo kazi hapo. Je hakuna mkono wa Msekwa hapo?
Sasa kwanini hakuwaambia wanaume wasiombe hiyo nafasi?
Na Rostam pia watakuwa wanaserebuka huko waliko.yaani leo EL atakuwa anapiga mivinyo tu maana mbuyu umeanguka
Nilitegemea hilo kwani lengo la Chenge kugombea ulikuwa ni mpango wa kumchomoa Sitta ili asijekulalamika,mpango huo ulikuwepo sana na sishangai sana,:smile-big: