Qulfayaqul JF-Expert Member Apr 10, 2008 480 84 Nov 12, 2010 #381 Nadhani ni mbabe sana na mtu wa kusimamisha wabunge wasiongeee kwa kigezo cha kanuni za bunge hatufai huyu
Nadhani ni mbabe sana na mtu wa kusimamisha wabunge wasiongeee kwa kigezo cha kanuni za bunge hatufai huyu
K Kifuna JF-Expert Member Aug 7, 2008 442 117 Nov 12, 2010 #382 Shadow said: Mh. 6 bado unamasaa machache ya kuchukua hatua sahihi!:smile: Click to expand... Mh.6 Sema neno moja tu na nchi yote itapona.Tangaza kumuunga mkono Marando.
Shadow said: Mh. 6 bado unamasaa machache ya kuchukua hatua sahihi!:smile: Click to expand... Mh.6 Sema neno moja tu na nchi yote itapona.Tangaza kumuunga mkono Marando.
Dijina40 JF-Expert Member May 17, 2010 727 242 Nov 12, 2010 #383 Nimesikia redioni leo asb wakinukuu magazeti ati ndicho anachofanya 6. Heheheheh! Chadema Oyeee!