popiexo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 742
- 182
Wameteuliwa Anna Makinda, Anna Abdallah na Kate Kamba.
Habari ndiyo hiyo!
Kudadeki Kweli ng'ombe wa masikini hazai na akizaa anazaa dume na dume levyewe linakufa, akizaa jike linakuwa tasa. Pamoja na kupiga kura zetu kwa bidii thithiem wanaweka spidi gavana badala ya spika mwenye akili timamu. hawa wote alioteuliwa ni vimeo na wako kwa maslahi ya mafisidi sio siri inakera, CCM watakua lini waache mambo ya kitoto. Kwakweli tumechoka na tutegemee bunge linalobore na kusubiri miaka mitano iishe. siamini kama niko bongo kwenye chama tawala kichina.