Didia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 719
- 258
Kwa maelezo haya nina Hakika Asilimia 100 wewe uelewi chochote kuhusu tafiti na ukiona mtu yoyote anatoa Hoja kama yako ujue haelewi kitu kuhusu tafitiWe ndo uache kujifanya mjinga. Tafiti hazipingwi kwa maneno bali kwa tafiti nyingine zilizokidhi matwa ya kisayansi. Hivi hujui kwamba tafiti zote zinazofanyika nchini lazima zipewe kibali kutoka NBS kwamba zimekidhi matakwa yote ya kitafiti? Hebu acha kujenga hoja bila ufahamu wowote.