uncledee86
Member
- Sep 11, 2016
- 21
- 25
Ni bora hata wangeenda huko walitumia simu tu.jamani kumbukeni hata chato na shinyanga kuna watanzania! sasa kama twaweza walifanya utafiti maeneo hayo ni wazi matokeo yatakuwa chanya
Ni bora hata wangeenda huko walitumia simu tu.jamani kumbukeni hata chato na shinyanga kuna watanzania! sasa kama twaweza walifanya utafiti maeneo hayo ni wazi matokeo yatakuwa chanya
Simple mathematics haikuitaji hata uwe una cheti chochote angalia hata hapa jamii forum ufanye research yako mwenyewe uangalie je ni wangapi wanakubaliana na ww...... I swear tangu mwanzo nafuatilia uko mwenyewe unaeunga mkono...Sijakuelewa hoja yako.
Kwa kweli imefikia mahali hamvumiliki tena, tafiti zenu uchwara zinaonekana kabisa kuwa mnatumika sana kisiasa. Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni hivi ni kwanini magazeti private yanauzika sana kuliko magazeti ya Serikali?
Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini tuna miaka 55 ya uhuru lakini nchi bado inanuka umaskini wa kupindukia.
Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini Serikali inaficha aibu kwa kuyapatia ruzuku magazeti yake ili yaendelee kuonekana mitaani maana hayauziki. Kama nyie ni watafiti tuambieni kwanini Serikali imekiuka katiba kwa kupiga marufuku mikutano yote ya kisiasa kwa kisingizio cha maendeleo, tangu lini maendeleo yakazuiwa na mikutano.
TWAWEZA acheni unafiki, bahati nzuri ni kwamba ukweli haujawahi na kushindwa wala hauna historia ya kushindwa. Nyie kila kitu mnasifia tu hata kwenye hamna, halafu mnakuja hadharani na kusema eti ni watanzania wamesema, tulisema wapi. Tanzania siyo kijiji, ni nchi kubwa ki eneo kuliko hata Nigeria, nyie mnakusanya CCM na kisha mnawauliza wakisema ndiyo, mnaibuka na kudai eti ni Tanzania nzima. Acheni kabisa kutudhalilisha nyie watu, mnachefua sana na hako ka taasisi yenu.
Hiyo ni kasoro kubwa mno... UNAANZAJE KWANZA?Na wewe hujanielewa tafiti sometimes huweza kupingwa bila tafiti... Kama umesoma na kufanya reseach ... Kwa kuipitia research methodology na research data collection ya utafiti unaweza kujua credibility ya utafiti flani kuwa ni pumba ama si pumba... Kwa mfano telephonic method kama njia ya kukusanya data INA kasoro lukuki hususan kipindi hiki cha sheria ya makosa ya mtandao.... Unadhan nani anaweza kupigiwa simu na akaongea kasoro za serikali kwenye simu.... Hiyo ni kasoro moja tu...
Hahahaha. Unanifurahisha ndugu yangu. Jaribu kuwa open minded. Twaweza ni taasisi isiyo ya kisiasa, hela zake kwa kiwango kikubwa inapata kutoka Shirika la Hivos la Uholanzi. Hawana sababu yoyote ya kujikomba kwa serikali kwani kazi zao za uchambuzi zinakosoa sana utendaji na ubora wa elimu nchini.
Wewe naye ni mjinga kuliko TWAWEZA NANI KAKUTUMA KUTUSEMEA ? UNATAKA WASEME LOWASA NDIYE RAIS WAKATI UNAJUA SIYO KWELI ACHA ULIMBUKENI TAARIFA YA TWAWEZA NI YA WATU WALIOSOMA NA HAWABAHATISHI MLIMBIWA MAGUFULI ATASHINDA URAIS MKAKATAA NA KUSEMA TWAWEZA WAMENUNULIWA SWALI MPAKA UNAANDIKA UPUUZI WAKO HAPA NANI YUKO IKULU? ANGALIA BACK GROUND YA TWAWEZA KWA KILA TAFITI WANAZOFANYA WAKITOA KITU NI CHA UHAKIKA NA SIYO KWENYE SIASA TU REJEA TAFITI ZAO KUHUSU ELIMU UTAJIONA WEWE NI KIHIYO KULIKO WOTE DUNIANI UNATAKA TAARIFA ZA KUKUFURAHISHA WEWE NA WAJINGA WENZAKO TEMBE UNAITA GHOROFA POLE SANA.
sasa we mkuu huoni hata huu uzi unakusanya majibu ya tafiti za kweli ambazo haziendani na tafit za TWAWEZA? wangapi wameenda kinyume na mtoa mada?
Hebu jaribuni kufanya hata utafiti humu JF mlinganishe na hizo za kupiga simu
KWENYE CHAMA UMEONA JE KWENYE ELIMU MBONA HUSEMI NA NI TWAWEZA HAOHAO WALIFANYA UTAFITI???? NAOMBA NIKUUZIE UBONGO WANGUHivi kufanya utafiti kwamba mgombea wa ccm atashinda ni utafiti? Ulitegemea matokeo gani iwapo tume ya uchaguzi inachaguliwa na ccm? Ok ngoja tukubali mnachosema, mbona huku kwenye mitandao ya kijamii iliyo huru hatuoni wangalau nusu ya wanaofagilia kama hiyo tafiti ya Twaweza? Uza huo ubongo ndugu yangu unaishi nao kwa hasara.
Simple mathematics haikuitaji hata uwe una cheti chochote angalia hata hapa jamii forum ufanye research yako mwenyewe uangalie je ni wangapi wanakubaliana na ww...... I swear tangu mwanzo nafuatilia uko mwenyewe unaeunga mkono...
Mkuu na wewe uko Twaweza nini? Kwa taarifa yako wenye maamuzi nchi hii ni wanasiasa hasa wa chama twawala. Huko kwenye elimu hakuna madhara kwao hivyo hata matokeoa yakiwa ya kukosoa sana upande wa elimu hawajali. Ila kama hawajipendi basi watoe takwimu zitakaonyesha mzee wa hapahapa na chama chake hawaungwi mkono kwa kiasi kikubwa, hapo hakuna cha waholanzi wala waasisi kwamba ndio wafadhili.