TWAWEZA, acheni kutufanya sisi watanzania ni wajinga

Ciprofloxacin.

JF-Expert Member
Apr 15, 2015
1,583
2,696
Kwa kweli imefikia mahali hamvumiliki tena, tafiti zenu uchwara zinaonekana kabisa kuwa mnatumika sana kisiasa. Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni hivi ni kwanini magazeti private yanauzika sana kuliko magazeti ya Serikali?
Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini tuna miaka 55 ya uhuru lakini nchi bado inanuka umaskini wa kupindukia.

Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini Serikali inaficha aibu kwa kuyapatia ruzuku magazeti yake ili yaendelee kuonekana mitaani maana hayauziki. Kama nyie ni watafiti tuambieni kwanini Serikali imekiuka katiba kwa kupiga marufuku mikutano yote ya kisiasa kwa kisingizio cha maendeleo, tangu lini maendeleo yakazuiwa na mikutano.

TWAWEZA acheni unafiki, bahati nzuri ni kwamba ukweli haujawahi na kushindwa wala hauna historia ya kushindwa. Nyie kila kitu mnasifia tu hata kwenye hamna, halafu mnakuja hadharani na kusema eti ni watanzania wamesema, tulisema wapi. Tanzania siyo kijiji, ni nchi kubwa ki eneo kuliko hata Nigeria, nyie mnakusanya CCM na kisha mnawauliza wakisema ndiyo, mnaibuka na kudai eti ni Tanzania nzima. Acheni kabisa kutudhalilisha nyie watu, mnachefua sana na hako ka taasisi yenu.
 
We ndo uache kujifanya mjinga. Tafiti hazipingwi kwa maneno bali kwa tafiti nyingine zilizokidhi matwa ya kisayansi. Hivi hujui kwamba tafiti zote zinazofanyika nchini lazima zipewe kibali kutoka NBS kwamba zimekidhi matakwa yote ya kitafiti? Hebu acha kujenga hoja bila ufahamu wowote.
 
Twaweza, au taasisi yoyote ya utafiti nchini, haitathubutu kutoa utafiti wowote, hata kama ni wa kweli, utakaoonyesha udhaifu wa serikali iliyoko madarakani. Watawala wa CCM wamejipanga kikamilifu kisheria kuhakikisha haukosolewi kwa njia ya tafiti. Taasisi za tafiti zinathibitiwa na sheria ya NGO (NGO Act, 2002) ambayo ni mbovu na gandamizi kama tu ilivyo Sheria ya Magazeti ya 1976. Sheria ya NGO inampa waziri husika mamlaka ya kuifuta NGO yoyote kama ataona hiyo NGO inakwenda kinyume na "maslahi ya taifa"! Hii sheria ndio ilitumika mwaka 2005 kuinyamazisha HakiElimu baada ya kuichachafya sana serikali katika miaka ya 90. Kubwa la kufanya sasa ni kupigania katiba mpya ya wananchi ambayo itafutilia mbali sheria zote gandamizi.
 
Kwa kweli imefikia mahali hamvumiliki tena, tafiti zenu uchwara zinaonekana kabisa kuwa mnatumika sana kisiasa. Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni hivi ni kwanini magazeti private yanauzika sana kuliko magazeti ya Serikali?
Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini tuna miaka 55 ya uhuru lakini nchi bado inanuka umaskini wa kupindukia.

Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini Serikali inaficha aibu kwa kuyapatia ruzuku magazeti yake ili yaendelee kuonekana mitaani maana hayauziki. Kama nyie ni watafiti tuambieni kwanini Serikali imekiuka katiba kwa kupiga marufuku mikutano yote ya kisiasa kwa kisingizio cha maendeleo, tangu lini maendeleo yakazuiwa na mikutano.

TWAWEZA acheni unafiki, bahati nzuri ni kwamba ukweli haujawahi na kushindwa wala hauna historia ya kushindwa. Nyie kila kitu mnasifia tu hata kwenye hamna, halafu mnakuja hadharani na kusema eti ni watanzania wamesema, tulisema wapi. Tanzania siyo kijiji, ni nchi kubwa ki eneo kuliko hata Nigeria, nyie mnakusanya magamba na kisha mnayauliza yakisema ndiyo, mnaibuka na kudai eti ni Tanzania nzima. Acheni kabisa kutudhalilisha nyie watu, mnachefua sana na hako ka taasisi yenu.[/QUOTE
Kujipendekeza tu,njaa mbaya
 
Kwa kweli imefikia mahali hamvumiliki tena, tafiti zenu uchwara zinaonekana kabisa kuwa mnatumika sana kisiasa. Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni hivi ni kwanini magazeti private yanauzika sana kuliko magazeti ya Serikali?
Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini tuna miaka 55 ya uhuru lakini nchi bado inanuka umaskini wa kupindukia.

Kama nyie ni watafiti kweli, tuambieni kwanini Serikali inaficha aibu kwa kuyapatia ruzuku magazeti yake ili yaendelee kuonekana mitaani maana hayauziki. Kama nyie ni watafiti tuambieni kwanini Serikali imekiuka katiba kwa kupiga marufuku mikutano yote ya kisiasa kwa kisingizio cha maendeleo, tangu lini maendeleo yakazuiwa na mikutano.

TWAWEZA acheni unafiki, bahati nzuri ni kwamba ukweli haujawahi na kushindwa wala hauna historia ya kushindwa. Nyie kila kitu mnasifia tu hata kwenye hamna, halafu mnakuja hadharani na kusema eti ni watanzania wamesema, tulisema wapi. Tanzania siyo kijiji, ni nchi kubwa ki eneo kuliko hata Nigeria, nyie mnakusanya magamba na kisha mnayauliza yakisema ndiyo, mnaibuka na kudai eti ni Tanzania nzima. Acheni kabisa kutudhalilisha nyie watu, mnachefua sana na hako ka taasisi yenu.
Twaweza sasa imekuwa hatuwezi wamegeuza tafiti kuwa ATM kama lipumba na Kale kaprofeselii kajinga jinga ka ACT
 
Back
Top Bottom