PAS
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 454
- 8
Hivi na akili zako, unaamini kabisa kwenye kupiga kura? Mimi nadhani hata kama alipata kura nyingi kiasi gani, wenye akili timamu wasingempa tuzo! Maneno kama "nyoka hana kiuno ndio maana havai shanga", wewe na akili zako ungempigia kura??? CRAP CRAP CRAP!!
MZIKI NI KUELIMISHA NA KUBURUDISHA, HIVO MPOKI KASTAHILI TUNZO HIYO KWA KUBURUDISHA NA KURA ALIZOPATA.. Tusipinge bila kufikiri.