tusisahau zawadi za wapigapumba wakarne
ndo hivo mkuu,kila jukwaa watu wawili,mana mtu anakuwa na ufahamu kwenye jukwaa lake,mfano JF DOCTOR na SIASA ni vtu tofauti
ngabu usikate tamaa zoezi limeboreshwa na bado mwezi mmoja tu huenda ukanyakua tena..tuzo itakabidhiwa siku ya mwaka mpyaMwaka jana nilishinda tuzo ya JF Man of the year lakini mratibu wa zoezi akala kona na hakunipa kitita changu cha Tsh. 50,000/=
Mwaka jana nilishinda tuzo ya JF Man of the year lakini mratibu wa zoezi akala kona na hakunipa kitita changu cha Tsh. 50,000/=
alimdai nn ten percent,mshindi akasusa
mmh!!!!!!!jameni!!Ikatokea cku moja mmojawapo hapo akakutongoza utakataa?!!
kule MMU tunaanza na Mamdenyi
Aagh mi Jukwaa la Siasa tangu walipoanza kulifanyia check-up sina time nalo, I cant post new sredi kule coz nawajua wale jamaa