Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Tunaomba tumjadili huyu mwanamke wa ajabu kabisa, ambaye kaamua kuivunja nyumba yake mwenyewe kwa mikono yake.
Bujibuji mwanamke huyo aliyezungumziwa na biblia siyo huyu unamyemjua wa leo. Haki sawa kwa wote, ndiyo mchawi mkubwa wa wanawake. Wanawake wengi wanaotaka kutekeleza kwa vitendo nadharia hii huishia kuvunja ndoa zao kwa mikono yao wenyewe.
Hebu tufafanulie kidogo "haki sawa kwa wote" inajumuisha vitu gani?
Bujibuji mwanamke huyo aliyezungumziwa na biblia siyo huyu unamyemjua wa leo. Haki sawa kwa wote, ndiyo mchawi mkubwa wa wanawake. Wanawake wengi wanaotaka kutekeleza kwa vitendo nadharia hii huishia kuvunja ndoa zao kwa mikono yao wenyewe.
Tunaomba tumjadili huyu mwanamke wa ajabu kabisa, ambaye kaamua kuivunja nyumba yake mwenyewe kwa mikono yake.
kushika mimba sawi na kuzaa pamoja pia
leo ni sikuukuu 'tutafute vitu light vya kujadili'
tusitoane mapovu
Eid njema Boss
Kuna mada moja nzuri inayojadili mvuto wa ma-injinia.......maoni yako yanahitajika. Maana naamini una expirience katika mitaa hiyo pia
ha haaaaa eid mubarak kwanza...
nilijua 'inakuhusu' ngoja niitazame lol
jamani mwisho pilau itanipalia,tusherekee kwanza maneno ya upumbavu tutayaongea kesho
Do u think ni rahisi kufunguka?hujambo Daughter?
nimesubiria thread yako ya 'kumfungikia' mtu humu
wapi?
Do u think ni rahisi kufunguka?