MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Hamjambo wanangu?
Kama mwanamke mpumbavu anao uwezo wa kuivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, je, vipi kuhusu mwanaume mjinga, anaweza kuivunja ndoa yake kwa kutumia nini?
Anyways, kutembea kwingi kuona mengi. Sasa nisikilizeni wanangu na wajukuu zangu; mwanamke katika ndoa anahitaji kuwa na hekima yenye taarifa sahihi. Wakati huo huo mwenzake mwanaume yeye anahitaji kuwa na maarifa yenye maelekezo sahihi.
Sema nini wanangu na wajukuu zangu, siyo case, imeisha hiyo!
Kama mwanamke mpumbavu anao uwezo wa kuivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, je, vipi kuhusu mwanaume mjinga, anaweza kuivunja ndoa yake kwa kutumia nini?
Anyways, kutembea kwingi kuona mengi. Sasa nisikilizeni wanangu na wajukuu zangu; mwanamke katika ndoa anahitaji kuwa na hekima yenye taarifa sahihi. Wakati huo huo mwenzake mwanaume yeye anahitaji kuwa na maarifa yenye maelekezo sahihi.
Sema nini wanangu na wajukuu zangu, siyo case, imeisha hiyo!