rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
mkuu umeongea ukweli'kuna mama alinunua corrola pale december mwaka jana imechukuliwa nyumbani kwake kilaini kabisa'nafikiri siyo hao peke yao mayard yote yanayouza magari wanafanya michezo hiyo'kuwa mwangalifu sana'kuna mtu ametoa ushauri wa kabadili lock nafikiri ni idea nzuri'vile vile kuna vitu kama gear lock au stering lock'just kuwa navyo kwenye gari
Vinaweza kukusaidia
Vinaweza kukusaidia