Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Wadau, siku hizi moyo wa kusoma vitabu vya aina zote-vya Taaluma na Riwaya umepungua sana na imepelekea Watunzi wa Riwaya kutoandika tena vitabu. Leo nawakumbuka baadhi ya Waandishi/ Watunzi wa Riwaya wa Tanzania.
Hamie Rajab
1. Miujiza ya Mlima Kolelo
2. Dunia Hadaa
S.M.Bawji
1. Usiku wa Blaa
2. Kisiwa cha Mayuku
Hamie Rajab
1. Miujiza ya Mlima Kolelo
2. Dunia Hadaa
S.M.Bawji
1. Usiku wa Blaa
2. Kisiwa cha Mayuku