Shaaban Robert
1. Adili na nduguze
2. Kusadikika
Mzimu wa Watu wa Kale, Kisiwa cha Giningi, Duniani Kuna Watu, Siri ya Sifuri, Mke Mmoja Watume Watatu, Mwana wa Yungi Hulewa, By Muhammed Said Abdulla
Mkuu hivyo vitabu vyote nilivisoma ndugu yangu... Mimi nilikuwa msomaji mzuri sana wa riwaya, na kwa bahati nzuri nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa ndio mtunza maktaba ya shule, na Alhamdulillah shule niliyo soma ilikuwa na vitabu vingi sana, nadhani robo ya vitabu viliishia home kwangu... ah ah ah ah.XP hivyo vyote uli visoma? You must be very rich! Riwaya zina utamu wake ingawa sidhani kama ukienda pale TPH Samora Avenue utavikuta hivyo vitabu
s.m.bawji
1. Usiku wa blaa
2. Kisiwa cha mayuku
Shaaban Robert
1. Adili na nduguze
2. Kusadikika
Umenikumbusha sani la zamani zileee lilikuwa linatoka mara mbili kwa mwaka
Euphrace Kezilahabi
2. Dunia Uwanja wa Fujo
XP hivyo vyote uli visoma? You must be very rich! Riwaya zina utamu wake ingawa sidhani kama ukienda pale TPH Samora Avenue utavikuta hivyo vitabu
JAMAN NATAFUTA KITABU CHA AFTER 4.30
imendikwa na mkenya yule yaani navipenda vtabu vyake lakin navtafuta sivipaT so PLEEES KWA YEYOTE MWENYE KITABU KILICHOANDIKWA NA UYO MWANDISH ANICHEK
Anaitwa David Mairu.
Aliandika After 4.30, Common man, The flesh, Unfit for human consumption na one by one.
Sasa hivi sipo nyumbani kwa hiyo sina uhakika kama bado ninavyo.
jaman wew naomba unisaidie
nikivpata ivyo vtabu ntafurai sana
yaan naupenda uandsh wa uyu bab acha tu