Zinafaa sana ila zisiwe za mbichi na ziwe zimekomaa coz zikikauka zina zinararuka na kupinda kingine eneo lisiwe na asili mchwaNataka kujua, Mbao za Mkaratusi zinafaa kwa milango au fremu, na kama hazifai kwanini?
Jina lingine si ndo mlingoti au sioHapana hizo zinaitwa Eucalyptus...
Mbao za mikaratusi zina changamoto ya kupinda na kuliwa na mchwa. Pia wakati wa mvua zinavimba hivyo milango haifungiMbao za mikaratusi zinafaa kutengenezea fremu za milango, madirisha na kadhalika.
Mkuu paa langu linaliwa na mchwa vip naweza pata suluhisho mkuuWadudu korofi hususan mchwa wanazimaliza haraka sana mbao ambazo hazijawa treated.
Pole sana. Hiyo changamoto ni kilio cha wengi! Ulitumia mbao ziliwekwa dawa mkuu?Mkuu paa langu linaliwa na mchwa vip naweza pata suluhisho mkuu
Ndio maana hazipendekezwi sana japo zinafaa. Ni chache zilizopandwa vizuri tangu zikiwa mbegu ndio zinaweza kutoa matokeo chanya.Mbao za mikaratusi zina changamoto ya kupinda na kuliwa na mchwa. Pia wakati wa mvua zinavimba hivyo milango haifungi
Jibu zuri sanaZinafaa sana ila zisiwe za mbichi na ziwe zimekomaa coz zikikauka zina zinararuka na kupinda kingine eneo lisiwe na asili mchwa
Nin ddawa ya mdudu anayekuka mbao na kuacha unga unga?Heri ya mwezi mpya,
Sisi ni wataalamu wa mbao za aina mbalimbali zinazozalishwa nchini Tanzania. Tupo Dar es Salaam. Tunao ujuzi na uzoefu wa miaka mingi.
Kama inavyofahamika, shughuli za ujenzi wa majengo na baadhi ya miundombinu hapa kwetu kwa kiasi kikubwa bado hutegemea mbao kama mojawapo ya nyenzo muhimu.
Je, unawezaje kutambua mbao nzuri, imara na zinazofaa kwa mradi anuai?
Tumekuja JamiiForums kujuzana na kuepusha hasara ambayo wadau wa ujenzi hukumbana nazo, yakiwemo makampuni na watu binafsi kutokana na kutokuwa na uelewa wa kutosha.
Tutajibu maswali yote tutakayoyamudu kwa wakati.
Karibuni sana.
Bila kujali gharama ya mninga, mbao ngumu (hardwood) hazitumiki kuezekea kwa sababu mbili kubwa:Je, naweza kuezeka Nyumba yangu kwa kutumia mbao za Mninga?
Uzuri wake ni upi zaidi ya mkongo?Ni kutokana na asili yake.
Ndiyo sababu ni nadra mikaratusi kutumika kutengenezea milango, makabati na samani na badala yake hutumika kama mistimu ya umeme, fremu na baadhi ya kingo/viambata vya madaraja n.k.
Bado mninga ndiyo mbao nzuri na bora kwa utengenezaji wa samani kuliko aina nyingine yoyote.
Ni kupulizia au kupaka dawa mbao husika. Kuna aina mbalimbali za dawa ambazo unaweza kutumia.Nin ddawa ya mdudu anayekuka mbao na kuacha unga unga?
Tofauti yake ni uimara. Pine zinatumika zaidi kwenye ujenzi hasa kuezekea.Hivi kuna tofauti gani kati ya mbao aina ya pine (paina) na cypruce(saiprasi)?
Kuna wengine niliona wanatumia machine ya vacuum ili kupenyeza dawa kwenye mbao.Ni kupulizia au kupaka dawa mbao husika. Kuna aina mbalimbali za dawa ambazo unaweza kutumia.
Aidha tunashauri wakati mwingine utumie mbao zilizochemshwa na dawa kama tulizonazo.
Samahani boss nilijua nauliza tofauti kati ya mninga na mkongoTofauti yake ni uimara. Pine zinatumika zaidi kwenye ujenzi hasa kuezekea.
Ukijibiwa nitag.Utajuaje ile dawa ya kutreat mbao ni fake ama sio fake..ile ya kijan..maana naskia mchezo huo upo sana bugurun pale