MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Sijui ni maisha au nini!
Style za mahusiano siku hizi yanaenda kinyume nyume.
Kijana(ME) anataka aliyemzidi umri(JIMAMA/SUGARMUMMY) ajitimizie mahitaji yake.
Kijana(KE) anataka JIBABA(BUZI).
kwa hawa watu wazima unakuta wametengana au wapo na wenza wao.
Hivi makamu/umri aina wameisha?
Naweka.nukta
Style za mahusiano siku hizi yanaenda kinyume nyume.
Kijana(ME) anataka aliyemzidi umri(JIMAMA/SUGARMUMMY) ajitimizie mahitaji yake.
Kijana(KE) anataka JIBABA(BUZI).
kwa hawa watu wazima unakuta wametengana au wapo na wenza wao.
Hivi makamu/umri aina wameisha?
Naweka.nukta