TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,718
- 10,212
To tell you the truth, ni ngumu sana kupata mwanamke mwenye sifa za mke nowdays
Hebu warudishe unyago huenda maadili yakarudi mahala pake
To tell you the truth, ni ngumu sana kupata mwanamke mwenye sifa za mke nowdays
Naz sijui napatia au nachemsha hapa
Swala sio unyago wala kitchen party
Swala zima hapa ni malezi ya watoto wetu maana watoto wanalelewa kudekezwa mpaka wanapitiliza
Utakuta msichana mkubwa kabisa au mvulana mkubwa kabisa anafuliwa nguo na house gal anaandaliwa msosi mezani na house gal na akimaliza house gal anakuja kuondoa vyombo na kuosha
Anatandikiwa kitanda na house gal
Sasa mtu kama huyo anafikiia kuwa anatakiwa kuoa au kuolewa tuseme zaidi hawa wa kuolewa. Anaenda kw amumewe hajui kupika, kufua, wala hajawahi kutandika kitanda chake mwenyewe.
Unafikiri hapo hata kama utampa mafunzo ya unyago wa mwezi mmoja au kitchen party ya masaa au wiki moja atafundishika ajue kuwa kuna kupika au kufua au kupiga deki nyumba au kumjali mumewe amtengee chakula au hata maji ya kuoga au ajue mumewe anavaa nguo gani kama sio unaleta balaa
Ndo hao sasa wanaoishia kuwa ndani ya nyumba kila kitu kinafanywa na house gal na yeye anajiweka as if majukumu ya ndani hayajui ni ya house gal
Akigeukwa na the same house gal wala hana haja ya kulalamika
Tukubali malezi ya watoto yanachangpia sana na sidhani unyago wa muda mfupi au kitchen party inasaidia kufanya lolote kwa watu wa aina hii
Nisamehe kama nimetoka nje ya mada
.....tuwaache tu na masomo yao....tuoe mahouse gal,ndio wanajua wajibu wa mke