Turudi kwenye unyago au tuendelee na kitchen party?

Ndoa za siku hizi hazidumu, kina dada wengi hawajui mapishi, hawawezi kujisafisha na kuweka nyumba zao katika hali ya usafi.
Hawajui mahitaji ya waume zao, hawajui kuwatunza wala kuwaridhisha.
Kazi kwelikweli.
Eti sababu yao ni kwamba wamesoma, mambo ya ndani ya nyumba ni kazi na wajibu wa housegirl.
Mafunzo ya unyumba wanayapata kwa ufupi tu kwenye kitchen party.
Je nini kifanyike?

To tell you the truth, ni ngumu sana kupata mwanamke mwenye sifa za mke nowdays
 
Hivi role ya mwanamke ktk ndoa za sasa ni nini?
Na ya mwanamume ni nini?
Kwanini ndoa zisipodumu ni kosa la mwanamke?

Kama house help hatakiwi; kwenye ndoa ambayo couple wote ni waajiriwa nunueni dish washer, mashine ya kufulia etc ili kurahisisha kazi! Peaneni zamu ya kupeleka watoto daycare, clinic etc!

Otherwise mke awe 100% housewife na mume aprivide everything na ampe credit card mkewe kwa matumizi binafsi! Otherwise tutadanganyana!

Mwisho, nina ushaidi wa kutosha pale mke anakuwa perfect wife lkn mume hatulii! Naamini juu ya joint responsibilities! Girls acheni kuwatafutia excuse wanaume wanapokosa; it is none of ur doing ni uchafu, uzandiki na umalaya wake tu! Hakuna sababu yoyote ya mwanaume kucheat; bali kuna sababu za kuachana! Full stop!
Natamani niendelee kuwa bachela....... no string attached
 
Kumbe na wewe uko kama mimi tu.

mkuu hii kitu sijui hata role yake kwa hawa wenzetu ni nini na inasaidia nini sana sana kwa mwanamke anayeenda kuolewa
Maana kuna nyingine ni only one day au wiki moja kabla ya ndo asasa hapo mama anafundishwa nini
kama mtu alikuwa hajui kitu sidhani kama hiyo wiki ataweza jifunza hata kupika au kuosha vyombo
 
Nashindwa kabisa kuelewa hilo jina la "kitchen party" lilitokea wapi na wahusika wenyewe humu nao hata hawajui.
 
may be nafikiri waliona wasiseme ni unyago ila watoe neno lao na si unajua ni wanajifunza mambo ya ndani sasa kusema ni unyago sidhani kama itasound vyema
 
Nashindwa kabisa kuelewa hilo jina la "kitchen party" lilitokea wapi na wahusika wenyewe humu nao hata hawajui.

Sherehe ya jikoni...kufunzana mambo ya jikoni na kupeana vyombo vya jikoni.Then kwakunogesha wanaongeza usia kidogo na wengine hata mauno.

Hey nimefikiria tu hivyo msiniulize maswali kama vile mimi ndo nlikua mwanzilishi.
 
may be nafikiri waliona wasiseme ni unyago ila watoe neno lao na si unajua ni wanajifunza mambo ya ndani sasa kusema ni unyago sidhani kama itasound vyema

Inawezekana kabisa. Maana si unajua tena na sisi na kasumba zetu. Kitchen party lina sound more sophisticated (of course, perception-wise) kuliko unyago!!!
 
Sherehe ya jikoni...kufunzana mambo ya jikoni na kupeana vyombo vya jikoni.Then kwakunogesha wanaongeza usia kidogo na wengine hata mauno.

Hey nimefikiria tu hivyo msiniulize maswali kama vile mimi ndo nlikua mwanzilishi.

Heheheheee naona umejihami haraka kaa nini vile....umenichekesha!
 
Wewe unakujua Magharibi ya wapi?

Manake kwa kiarabu ukisema Magharib kwa nchi maana yake ni nchi ya Morocco :]

Katika muktadha wa mada uliposema magharibi mimi nikadhani unazungumzia nchi za ulaya magharibi na marekani ya kaskazini au nchi zilizoendelea ukipenda. Ulimaanisha hivyo?
 
Katika muktadha wa mada uliposema magharibi mimi nikadhani unazungumzia nchi za ulaya magharibi na marekani ya kaskazini au nchi zilizoendelea ukipenda. Ulimaanisha hivyo?

Hivyo hivyo eee

Waswahili asili yao wana Singo, sema halikolei maana ni kitendo kinachofanywa ndani ya nyumba na sio kwa mapicha na kuupura na kuonyeshana watu.

Pia waswahili wenye asili ya Uarabuni wana Hinnah, ambayo ni bi harusi kupakwa hinna. Hii inakaribiana na kitchen party though hakuna asili ya kujazana mazawadi na kucheza kimatusi kama inavyoonekana sasa kwenye vitchen party
 
Hivyo hivyo eee

Waswahili asili yao wana Singo, sema halikolei maana ni kitendo kinachofanywa ndani ya nyumba na sio kwa mapicha na kuupura na kuonyeshana watu.

Pia waswahili wenye asili ya Uarabuni wana Hinnah, ambayo ni bi harusi kupakwa hinna. Hii inakaribiana na kitchen party though hakuna asili ya kujazana mazawadi na kucheza kimatusi kama inavyoonekana sasa kwenye vitchen party

Asante sana kwa jibu lako murua bin swadaktaa!!
 
Back
Top Bottom