Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
anatumia kwasasa anatumia Sanga Richard kule fb
kama umefuatilia mabandiko yake kwenye blogu yake utajua huu mpango alikuwemo toka wanaanza.
anatumia kwasasa anatumia Sanga Richard kule fb
anatumia kwasasa anatumia Sanga Richard kule fb
Leo asubuhi nimekuta panya kibao wamekufa jikoni, ndio umeanza nini mkuu wangu??Natoka Kigoma... Nimeaga kwetu... Nitakufa kwa amri ya Mungu... Siogopi kufa. ..Iwapo kifo changu kitatokana na mkono wa mtu, sidhani kama kwa mtu huyo kama hata panya atabaki nyumbani kwao. (Zotto Kabwe - Mbunge Wa Kigoma Kas 2012).
Nina wasiwasi wewe ndiye mwenyewe!
MIMI HUYU BWANA TUNTEMEKE nimemfahamu ni bahati mbaya anatoka kwetu IRINGA lakini sidhani kama yuko sawa kwa sasa. nahisi ameathirika kisaikolojia somehow anahitaji msaada. kwa maoni yake anasema wanachadema wanamuunga mkono kwa huo uharo anao uandika sijui huo ushahidi anaupata wapi? binafsi namshauri apumzike siasa ili kichwa chake kirudi kuwa normal. amedhalilisha CHAMA sana na wakinga kwa ujumla,Tuntemeke ni mchumia tumbo anayedhani anaweza kusambaratisha chama.Nilishamwapia kwamba hilo katu hataweza.Aende kwa mabwana zake wanaomtuma awaambie CDM tuna imani na Dr Slaa & Freeman Mbowe.Apende,asipende hawa ndiyo watatuvusha salama 2015.
kama umefuatilia mabandiko yake kwenye blogu yake utajua huu mpango alikuwemo toka wanaanza. jina lake ni festo richard sanga