Siasa sio vita

Richard mtao

JF-Expert Member
May 13, 2018
209
236
Habari wana JF,

Kwa siku na hizi karibuni nimeendelea kujifunza na kugundua asilimia kubwa ya wanachama wa chadema hawajui Siasa safi.

Nasema hawajui kwasababu wengi wao wamegeuza siasa kuwa kama vita.

Yaani Utakuta mwanachama wa hiki chama anachukia mtu mwingine kuingia chama kingine especially CCM, sasa unajiuliza watu wa dizaini hii wanajitambua kweli? au ndo wale wale wazee wa mihemuko?

Ukifatilia posts nyingi za wanachama wa chama cha mapinduzi zinazoonyesha ni kwa namna gani wanakisifia chama chao pamoja na juhudi kubwa zinazofanywa na serikali inayoongozwa na chama cha mapinduzi, utakutana na mtu wa chadema akitukitana, akiponda badala ya kuweka hoja zake mezani ili zijibiwe ipasavyo.

Nashauri tu Ndugu zangu wa chadema tambueni Tanzania ni nchi inayoendeshwa kwa Mfumo wa vyama vingi, mbali na hilo sisi wote ni wamoja ni Watanzania itikadi zetu zisitufanye tuchukuliane vibaya. Badala yake itupe fursa ya kujengana kwa hoja na kushauriana na sio kushambuliana kama maadui.

Na pia ifike mahali mkubali kwamba kwasasa hamna sera, mmebaki kubwabwaja huko mitaani, na nawahakikishia mkiendeleea hivi 2024 uchaguzi wa serikali z mitaa tutawaburuza mpaka mjikubali hamjui siasa na hamuwezi kuongoza.

Sasa kubwa lao tutawapiga kipigo cha mbwa mwizi 2025. Na hii ni kwakua hamna sera, kazi yenye saiv ni kupiga kelele tu na uzuri wananchi skuizi waelewa sana. Wanafahamu uongo wenu na jinsi mnavyojua kubadili mambo ili kupata attention yao hahahha.
 
chadema wabadilike kwa kweli
Ifikie hatua waanzishe kitengo cha kufanya tafiti kujua wananchi wanataka kitu gani. Na pia viongozi wao wakubali kuachia madarak kwa vijanan wao. Hii inaaweza kuwasaidia kupata viongozi wenye mawazo mapya
 
Ifikie hatua waanzishe kitengo cha kufanya tafiti kujua wananchi wanataka kitu gani. Na pia viongozi wao wakubali kuachia madarak kwa vijanan wao. Hii inaaweza kuwasaidia kupata viongozi wenye mawazo mapya
Ccm nao waachie nchi kwa watu wengine wameshindwa kuongoza nchi kwa zaidi ya miaka 60

Unafikiri chadema wakibadilisha mwenyekiti ndo kero za umeme kukatika zitaondoka, au sukari ndo itasuka bei tatizo la watanzania ni ccm kushindwa kuongoza nchi
 
Ccm nao waachie nchi kwa watu wengine wameshindwa kuongoza nchi kwa zaidi ya miaka 60

Unafikiri chadema wakibadilisha mwenyekiti ndo kero za umeme kukatika zitaondoka, au sukari ndo itasuka bei tatizo la watanzania ni ccm kushindwa kuongoza nchi
Kwa unataka kusema kwa miaka 60 iliyopita nani alikuwa anaiendeshaa hii nchi??

Bila ccm wewe ungekuwa unajua hata kupost humu JF??
Au wazaz au ndugu zako unafkili wangekuwa na walichonacho sasa??

Kabla ya kuzungumza jadili na kichwa chako. Unajiahabisha wewe mpk chama chako
 
Kwa unataka kusema kwa miaka 60 iliyopita nani alikuwa anaiendeshaa hii nchi??

Bila ccm wewe ungekuwa unajua hata kupost humu JF??
Au wazaz au ndugu zako unafkili wangekuwa na walichonacho sasa??

Kabla ya kuzungumza jadili na kichwa chako. Unajiahabisha wewe mpk chama chako
Wewe sasa Unataka kutuamisha kuwa bila iyo CCM wewe Usingekuwa hai, Usingekuwa unapumua sindio?
 
Mgao wa umeme
Kubanda bei sukari
Miundombinu mibovu
Elimu mbovu
Maji hamna
Hayo ni baadhi ya mateso wanapitia kila siku
Kila kitu kinapitia hatua.
Pia kumbuka changamoto ni sehemu ya maisha.

Hata nchi kbwa kama marekani wanachangamoto zao... hivyo changamoto hzii za muda mfupi hazikupi legitimacy ya kuitukana CCM. Badala yake nakushauri kuinga mkono ili ulete mawazo ya kujenga zaiid
 
Back
Top Bottom