Chanzo cha matukio haya hakipo wazi isipokuwa kuna watu wanahamasisha chuki za kidini,lakini kwa tanzania ya leo hili si jambo la ajabu kwa kuwa inasemekana hawa ni wale wale wana uamsho,wazee wa mwembe chai na mabucha ya nguruwe dar enzi za mzee ruksa.ule mche bado unastawi.kuna askari mmoja amenieleza kwamba hawa watu wametoka nje ya tunduru kwa ufadhili maalum na wanashirikiana na baadhi ya wenyeji ktk kazi hiyo ya uhalifu,na polisi bado hawana taarifa za kutosha hasa juu ya namna ya kuwatia mbaroni.mpaka sasa inakadiriwa nguruwe wenye thamani isiyozidi milioni 20 wameteketezwa,kabla ya magari mawili yaliyochomwa usiku wa jana kuamkia leo.
wadau mimi kama mpenda amani,jana niliweka uzi hapa jamvini kuelezea matukio ya uchomaji moto mazizi ya nguruwe ambayo yameanza wiki 3 zilizopita.katika muendelezo wa matukio haya juzi makanisa mawili yalinusurika kuchomwa na leo hii tar 26/09/12 gari mbili zimechomwa moto moja ikiwa ya mchungaji na nyingine ni ya mkristo wa kawaida,sambamba na hilo zizi ambalo lilikuwa na nguruwe 8 limeteketezwa.
Jambo la kustaajabisha pamoja na matukio haya kutishia amani na uwezekano wa kutokea machafuko ya kidini hakuna hatua inayochukuliwa na serikali wala hakuna kiongozi yoyote aliejitokeza kulaani jambo hili.
My take:amani ni jambo jema kwa hiyo serikali ichukue hatua za haraka kukomesha hali hii kabla haijafika hatua ngumu maana wanaotendewa mambo haya nao sasa wanaanza kufikiria namna ya kulipa kisasi wenyewe baada ya kuona serikali haichukui hatua yoyote.
Mungu ibariki Tanzania.
Umenena, lakini Takbirrrrrrrrrrrr inatamkwa na watu wa dini gani? Maana wanajifanyaga wao kama Morani wa kimasai wanapandisha mori ili waweze kufanya walioyakusudia. Viongozi wa dini hiyo inayoshutumiwa mbona wapo kimya? Kuna nini hapo au waliwatuma?jamani tutumie busara kdg, hakuna anaependa udini awe muislam au mkristo.
Mleta mada toa ufafanuzi tafadhali, hayo matukio yameanza lini, chanzo ni nini?
Ungetufafanulia manake binafsi hizo taarifa sijazisikia hata kwenye chombo kimoja cha habari.
Siamini kama kuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaeweza akafanya hayo uloeleza bila sababu.0ungetoa taarifa kamili bila upendeleo tuweze kujadili vzr manake taarifa yako ya awali inaonekana kuelemea upande mmoja.
Pili hakuna sehemu yoyote katika mafundisho ya uislam panapofundisha kudhulumu, kuharibu mali ya mtu au kuu asie na hatia.
Anaefanya hivyo kakiuka misingi ya uislam na anapaswa ahukumiwe kama mhalifu mwingine na si kuhukumu dini yake kwani uislam haufundishi hivyo.
sasa mkuu we umeleta habari hata chanzo haujakijua bado na unaanza kutuhumu mara uamsho, mwembechai, sijui wanafadhiliwa, unalengo gani kama sio kuongeza chuki za kidini?
Halafu unatoa shutma nzito hivi na watu wanashabikia bila hata kuhoji kisa nini?
Umejitambulisha kuwa wewe ni muislam lakini uislam haufundishi hivyo,
UISLAM HAUMRUHUSU YOYOTE YULE KUSEMA JAMBO ASILO NA ELIMU NALO.
Kafanye uchunguzi uje na habari kamili, sio unawatuhumu watu burebure.
Huu uzi ni wa kufungwa kwakuwa umekiri haujui ulicho kiripoti, unaongeza chuki za kidini.
wadau mimi kama mpenda amani,jana niliweka uzi hapa jamvini kuelezea matukio ya uchomaji moto mazizi ya nguruwe ambayo yameanza wiki 3 zilizopita.katika muendelezo wa matukio haya juzi makanisa mawili yalinusurika kuchomwa na leo hii tar 26/09/12 gari mbili zimechomwa moto moja ikiwa ya mchungaji na nyingine ni ya mkristo wa kawaida,sambamba na hilo zizi ambalo lilikuwa na nguruwe 8 limeteketezwa.
Jambo la kustaajabisha pamoja na matukio haya kutishia amani na uwezekano wa kutokea machafuko ya kidini hakuna hatua inayochukuliwa na serikali wala hakuna kiongozi yoyote aliejitokeza kulaani jambo hili.
My take:amani ni jambo jema kwa hiyo serikali ichukue hatua za haraka kukomesha hali hii kabla haijafika hatua ngumu maana wanaotendewa mambo haya nao sasa wanaanza kufikiria namna ya kulipa kisasi wenyewe baada ya kuona serikali haichukui hatua yoyote.
Mungu ibariki Tanzania.
Wewe nawe ni uamsho nini?kipi ambacho hujaelewa nikuandikie ubaoni?
nadhani hawajui wanchokiabudu maana kama wangejua kuwa waliumbwa na Mungu wangemwabudu mungu aliyehai lakun bahati mbaya hawajui lolote juu ya wanachoamini.
wa tunduru fanya uchunguzi sahihi wa taarifa yako [kwanza idadi uliyotaja si sahihi pili hoja yako inaenda kidini moja kwa moja ukiwa na maana tukio hili waliofanya ni waislam bila kuwa na ushahidi kamili. Labda tukujulishe kwa taarifa isiyo rasmi matukio haya yanayofanyika ni wenyewe kwa wenyewe wana ugomvi kwenye saccos zao.....kwa kukujulisha zaidi idadi ya nguruwe waliochomwa jumla ni 68 majerui 23 na polisi wanaendelea na uchunguzi tuwaachie kazi yao
Hawa kimsingi hawako kwa ajili ya dini kwa sababu uislam unafundisha amani,upendo na kuvumiliana,hawa si waislamu,mtume alipigana vita kujihami na kwa kuwa alizuiwa kuabudu na alinyanyasika kwa sababu ya dini,hawa ansar sunna hawajakatazwa kuabudu na hawana sababu ya msingi kuleta machafuko,isipokuwa hawa ni magaidi na hawana uhusiano wowote na dini tukufu ya islam iliyosheheni mafundisho ya kistaarabu,hawa sio dini,hawa sio siasa,hawa ni wauaji.
tupe sababu ya hizo vurugu, na vipi dini inashambuliwa imechukuwa hatua gani?
Wewe nawe ni uamsho nini?kipi ambacho hujaelewa nikuandikie ubaoni?
wa tunduru fanya uchunguzi sahihi wa taarifa yako [kwanza idadi uliyotaja si sahihi pili hoja yako inaenda kidini moja kwa moja ukiwa na maana tukio hili waliofanya ni waislam bila kuwa na ushahidi kamili. Labda tukujulishe kwa taarifa isiyo rasmi matukio haya yanayofanyika ni wenyewe kwa wenyewe wana ugomvi kwenye saccos zao.....kwa kukujulisha zaidi idadi ya nguruwe waliochomwa jumla ni 68 majerui 23 na polisi wanaendelea na uchunguzi tuwaachie kazi yao
bora umeona mkuu, jf nayo imekuwa kijiwe cha porojo.
Watu hata hawahoji wapate taarifa za kutosha wanakimbilia kulaumu na kumwaga povu.
wewe tumekuchagua piga simu then utuletee taarifa iliyokamilika hapa jukwaani, sasa kama una habari nusu nusu kwa nini huzikamilishi kwanza, tuelezee chanzo cha machafuko mkuu.