kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
hivi wanavyosema haramu huyu mdudu si aliumbwa na mungu sasa kwanini kiumbe kilichoubwa na mungu useme haramu???
kama sir Ferguson !
kama sir Ferguson !
Sasa hapa sijui wataichoma mote JF? Au wataenda barabarani kuandamana JF ifungiwe kwa kuruhusu picha ya kitimoto. Ama kweli Yesu ni Mkombozi makini! Kweli ikiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli. Ukiona mtu akili yake haiko huru ujue ukombozi wa Kristo Yesu unambishia mlangoni, aseme kwa upole, "Karibu Bwana, nipo hapa nakusubiri uniokoe na mimi usinipite Mwokozi" Tayari kwa kauli hiyo Mungu hajiulizi mara mbili anakukumbatia na kukuandika jina lako kwenye kitabu cha walio wachanga wake na kukuanzishia darasa la namna ya kutembea katika Yeye kwa ufanisi. Hakuna madhara tena kwako, hata kama vibakuli vikikurushia majini kwa njia moja nayo yatakimbia kwa njia saba kujiokoa, kama wale maalfu ya majini walioomba wasimalizwe lakini waruhusiwe kuwaingia wale vitimoto maalfu ambao Yesu aliporuhusu ili mtu mmoja apone, yakapagawa na kuingia baharini hadi kuzimu kwa aliyeyatuma. Uliho nkoi? Seba akujiwe gete ng'wana wane.huyo hapo
hivi wanavyosema haramu huyu mdudu si aliumbwa na mungu sasa kwanini kiumbe kilichoubwa na mungu useme haramu???
kama sir Ferguson !
kama sir Ferguson !
Basi kula hata kunguru si kiumbe cha Mungu pia!! hata funza we kula tuone ubishi wako
huyo hapo
..........nyie si mmejitia wazimu ! ati mungu mmemuona na ana mtoto ! mara wako na babake, sasa wewe uwe na,mtoto na mungu nae awe na mtoto ?!
hapana huyu si ndie yule aliyefukua kabuli na mbwa wakaja wakaila mikono yake jamaa yenu mwalimu wa magaidi Hadi leo mmeacha kumla mnyama na wala kufuga mbwa zamani mlikuwa mnamla huyu mnyama hahahahaha
..........nyie si mmejitia wazimu ! ati mungu mmemuona na ana mtoto ! mara wako na babake, sasa wewe uwe na,mtoto na mungu nae awe na mtoto ?!
hakuna dini inayofundisha ivyo....ila ni watu wachache wanawajaza wenzao ujingaSijui ni dini gani inafundisha chuki kali kama hizi dhidi ya binadamu mwenzio, hii lazima itakuwa ni dini ya kishetani!
na uzuri wenyewe MUNGU hana dini...MIDINI HII inayotupa shida ni ulevi tu kama ulevi mwingine ila ulevi hutofautiana asa kama umelewa sana tilalila...chakari...ndo unaanza kufanya mambo ya ajabu kama mlevi mwingine yeyote yule wa kileviJibu swali weye..Mungu unaye muabudu wewe yule anyekaa pale Al Kaaba ndiye huyo huyo Mungu anayeabudiwa na Wakristu? Wacha kumbwela mbwela!
hapo ndio kwenye tofauti kkDo not repel one outrage by another... If somebody slaps you on ya' right cheek, turn your other cheek to him as well...