Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
.....ndani ya Qur'an kuna Injil, hivyo tunajua kilicho sahihi katika Biblia na kilicho potoshwa !
Soma hii hoja hapa kama unaweza kuidadavua:
..........Ibrahim hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu: Muislaam, wala hakuwa katika washirikina. Watu wanaomkaribia zaidi Ibrahim ni wale waliomfuata yeye na Nabii huyu (Muhammad) na walioamini (kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja). Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa waumini. Qur'an:3:67-68.