Hivi huyu Werema AG (SIC!), akisikia jambo kutoka kwa LS kwanini asijiridhishe kwa kufanya ka UTAFITI kidogo kuliko ku opt kumtukana LS?
Sasa hivi hata Idara ya mahakama inamchukia Werema, pale alipopinga hoja ya TL, kwamba budget ya mahakama itolewa in percetange 3%? au 2%, kama ilivyo Bunge na Vyama vya siasa hiyo ingesaidia kuondoa ukata ktk idara ya mahakama. Lakini Werema akapinga kwa HOJA YA NGUVU! As usual Magamba wenzake waka mu support. Idara ya mahakama inaona CDM wana VISION kuliko CCM!
Kama ndio Hivyo basi Watende Haki na Mungu atakuwa Upande Wao!! Ila kwa issue ya kuwa na Majaji wasiokuwa na hata Vyeti vya elimu Hiyo sasa ni soo!!