Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Source Gazeti la Fahamu
Ule usemi wa Mbunge wa Singida Mashariki kuwa ujaji wa kuteuliwa na rais ni wa kirafiki zaidi na kujuana una ukweli ndani yake, na ulikuwa mwiba kwa serikali na mwanasheria mkuu wa serikali kuwa na ukweli kwamba majaji wengi hawana sifa za kuwa majaji na wengi wao elimi zao ni za kuungaunga. Ikitolewa mfano ya wa jaji ambaye kwa miaka minne kashindwa kuandika hukumu kumfatilia hana elimu ya degree na kwa muda huu anafanya degree ya kwanza online.
Narudia kusema Tundu Lissu yuko sahihi
Ule usemi wa Mbunge wa Singida Mashariki kuwa ujaji wa kuteuliwa na rais ni wa kirafiki zaidi na kujuana una ukweli ndani yake, na ulikuwa mwiba kwa serikali na mwanasheria mkuu wa serikali kuwa na ukweli kwamba majaji wengi hawana sifa za kuwa majaji na wengi wao elimi zao ni za kuungaunga. Ikitolewa mfano ya wa jaji ambaye kwa miaka minne kashindwa kuandika hukumu kumfatilia hana elimu ya degree na kwa muda huu anafanya degree ya kwanza online.
Narudia kusema Tundu Lissu yuko sahihi