GANJIBHAAI
Senior Member
- Mar 22, 2018
- 136
- 431
Binafsi mimi ni kati ya watu wachache ambao tunasikitishwa na kutokuweza kung’amua falsafa ya siasa ya Mh. Tundu Lissu, Admitted.
Lissu ni Mtanganyika kama walivyo hao Wamasai.Angekuwa anajua mengi asingeliwa anaropoka. Angekuwa anaongea pointi. Mfano, anasema tuna Rais Mzanzibar. Sawa. Yeye anapowaongelea Wmasai, yeye Lissu ni Mmasai?
Unahisi ukiachana na kuwa JKN alikuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika unadhani kuna lipi lingine linalopelekea nikampa kipaumbele?Rejea Hotuba ya Baba wa Taifa kuhusu wanaotaka kujitenga kwa Tanganyika na Zanzibar.
"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wamepele Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."
"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuburuga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"
"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minyingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"
"Mimi minetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"
Pia soma:
sure .hatuweziKwa hizi nondo, hiii mikutano CCM hawawezi kuivumilia iendelee.
Kabisaila tuache uongo Lissu anajua mengi kuhusu hii nchi
🤣🤣Jamaa hanaga mkopo huyo mnamalizana hapohapo mchana kweupe kama alivokuwa jiwe Magufuli.
😅😅 ulinzi Upo Kumbe
Huu ndo umeandika Usenge gani sasa?Angekuwa anajua mengi asingeliwa anaropoka. Angekuwa anaongea pointi. Mfano, anasema tuna Rais Mzanzibar. Sawa. Yeye anapowaongelea Wmasai, yeye Lissu ni Mmasai?
Ccm hakuna hata mmoja wa kujibu hoja za mh lissu, kauli moja tu ccm na machawa wamejificha pasipo julikana"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wamepele Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."
"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuburuga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"
"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minyingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"
"Mimi minetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"
Pia soma:
Na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya hivi karibuni ameongelea Bandari kuwa sehemu ya Muungano na haja ya kiumganisha Mipango ya Bara na visiwa ya maendeleo, sio huku Sisi tunakodisha Bandari zao hazi kodishwi. Na Wana hisa wa Bandari yetu ndio hao wanatoka upande wa pili004 aligawa gesi yetu Kwa wageni na hakuwa mzanzibari.
Ingawa Pana kiwango Fulani Cha UKWELI sababu bandari zetu wamepewa waarabu while za Zanzibar hazikuguswa.
Huo ni mkanganyiko wa kikatiba.
Kweli wewe ni Mtoto wa shule, kuna jamii mbili ndani ya Muungano , nao ni wa Znz na WatanganyikaAngekuwa anajua mengi asingeliwa anaropoka. Angekuwa anaongea pointi. Mfano, anasema tuna Rais Mzanzibar. Sawa. Yeye anapowaongelea Wmasai, yeye Lissu ni Mmasai?
Duh"Leo tuna miaka 60 tukiitwa Tanzania, ndiyo maana tuna rais ambaye ni mzanzibari, siyo mtanganyika. Anaweza kwenda ngorongoro akatoa amri kwa wanajeshi hawa, akasema fukuza wamasai wote ngorongoro wamepele Msomera Handeni, 547Km kutoka ngorongoro."
"Huyu rais Mzanzibari siyo Mtanganyika, hajazaliwa upande huu, miaka 60, huyu mzanzibari anaweza kutoka alikotoka akaja kuburuga watu huku. Kusingekuwa na huo muungano asingefanya hivyo kwasababu asingekuwa rais wetu"
"Na siyo ngorongoro tu, sasa wanasema Longido yote, Monduli ya mbugani yote, ule upande wa kwenda Siha nyuma ya mlima Meru yote ile, Simanjiro yote mpaka huku minyingu na maeneo mengine ya wafugaji yote. Wanasema hivi, na haya maeneo wanapanga kuyafanya kuwa mapori tengefu na wakiyatenga kuwa maeneo tengefu maana yake wamasai wanafukuzwa kote"
"Mimi minetembea nchi hii mwaka jana, kila mahali ni kilio cha ardhi, nchi hii kuna kilio kikubwa cha Ardhi nchi nzima na sababu ni moja, rais anaamuru watu wake mapolisi, DC, wanajeshi wahamishe wananchi"
Pia soma: