JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,263
Hee leo nimeona maajabu ya bunge baada ya mh waziri kushindwa kujibu swali la mh Lissu kwa madai eti ni SWALI jipya, kumbe serikali inataka maswali ya zamani tu.
Hili lilikuwa swali la nyongeza, ambapo Mh. Lissu alisimama na kuuliza kwa kuwa Sheria yeyote ya Hifadhi ya Misitu inatakiwa kutangazwa kwenye gazeti la serikali, Je, Ni Tarehe gani, mwezi gani mwaka gani, ilitangazwa sheria ya kuanzishwa kwa Hifadhi ya Msitu ulioko Singida mashariki
Hili lilikuwa swali la nyongeza, ambapo Mh. Lissu alisimama na kuuliza kwa kuwa Sheria yeyote ya Hifadhi ya Misitu inatakiwa kutangazwa kwenye gazeti la serikali, Je, Ni Tarehe gani, mwezi gani mwaka gani, ilitangazwa sheria ya kuanzishwa kwa Hifadhi ya Msitu ulioko Singida mashariki