Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
kwa hili ninaamini nilimsikia......... ndio maana mzee JSM alisema hajui kilchotokea wakati wa kura za maoni.... nimesikia tetesi kariakoo kuwa alisaidiwa kushinda na wanamuziki (Mapacha3)Yule Livingstone Lusinde uwezo wake ni mdogo sana, yani alichangia vitu vya ajabu sana