Na sijui kwann watu wamechukizwa na hawa jamaa kupatana? Kwa hyo watu walitaka waendelee na 'bifu' tuuuuuu?
Hawa (Sugu na Ruge) si Watanzania wenzetu? Kama wamepatana kwann tuchukizwe na kitendo hicho?
"Heri wapatanishi..." Math 5:9
Nchimbi na Lissu hongereni kwa kulisimamia hili. Hatuhitaji kukaa tunagombana.
Sisi (Watz) sote ni ndugu.
Kwa maelezo ya nchimbi inaonekana sugu ndio alioinitiates muhafaka!!! Hila safi sana ngoja tuangalie matokeo yake!!!
Tusaidie hayo maelezo ya Nchimbi mkuu King Kong, ili tuweze kupata data za uhakika.
bahati yako sugu umeniwahi, nilikuwa nakuja na post matata sana baada ya kusoma ndoa yenu media nyingine anyway lakini wenzako wamereport vingineee
taarifa:kwanza poleni na samahanini kwa hali ya sintofahamu iliyotokea leo kutokana na taarifa za ghafla za usuluhishi kati yetu na ruge/clouds fm,ni kutokana na unyeti wa issue yenyewe ilibidi tufanye hivyo kwa nia njema kabisa...kwanza naomba tujipongeze kwa kuwa tukio la leo ni ushindi kwa vinega kwa maana kwamba madai yetu yote ya msingi ndio yalikuwa msingi wa majadiliano na ruge amekubali kuyatekeleza yote...kuanzia suala la studio ya raisHongera Sugu na wadau wote walioshiriki kufanikisha maridhiano!
Ndio mwisho wa kudai 'haki' za OUTCASTS vinega?