Tundu Lissu, Nchimbi wawapatanisha Mr Sugu na Ruge wa Clouds FM

Hata kama ni makubaliano baina yao hapo Ruge ndo kapiga bao, Sugu anakula matapishi yake mwenyewe.. Ni upi mustakabali wa Vinega na nyimbo walizowahi imba against Clouds Fm?
 
Bifu lao lingekua la kutegeneza hela,these guys culd b billionaires,zaid hata ya hivyo visent vya malaria wanavyo lilia,mwisho wa siku sugu kawauza wenzie wa vinega,ts very sad.
kweli,hii inaonesha ubinafsi wa sugu,kumbe alikua anawatumia tu wale watoto kina adili bila wao kujijua kwamba wanacheza ngoma wasiyoijua,je harakati zile ndio tuseme zimekwisha kwa sugu kuingizwa kwenye mtandao wa upigaji wa maslahi ya wasanii?kina adili na wenzako kama mnanisoma jipangeni muendeleze harakati kivyenu huyu nahodha wenu sio nahodha shupavu,meli ilipopigwa mawimbi akaamua kujitosa baharini na kuwaaacha nyie mabaharia na chombo majini endelezeni safari.
 
Hapa ninachokiona ni nchimbi na mbilinyi kuweka unyumbani mbele...kwa maslahi ya nchimbi kisiasa akiwa waziri wa utamaduni hili bifu lilikua ni doa kwake.
 
kwenye msako wa haki ushindi ni lazima, kwenye hili VINEGA wameshinda mapambano yao dhidi ya unyonyaji, na ninahisi ni lazima kuna makubaliano ya wote kuwa kitu kimoja, naomba wadau tukumbuke hakukuwa na mashindano ya kutaka kujuwa nani zaidi bali kulikuwa na sauti kutoka nyikani zilizokuwa zinahitaji kusikilizwa, je tatizo liko wapi? Naunga mkono mapatano haya.
 
Totally useless; nimepitia kusoma kutaka kujua kulikoni. Never knew Sugu na Ruge wana bifu, na huku kupatanishwa kwao kunatuhusu nini?
 
Maskini vinega ... Waliamini kwamba sugu anapigania haki za wasanii kumbe alikuwa na issue zake binafsi ..kina mkoloni walikuwa wanacheza ngoma wasio ijua ..
 
Hivi kamati kuu ya hao vinega ilikaa pamoja na kupitisha maazimio aliyoyafanya Sugu kwa niaba yao?...kama ilisemwa Afande Sele alisaliti harakati za anti virus basi Sugu kasaliti zaidi...Clouds fm (Ruge) walishakuwa na mgogoro uliopelekea Sugu kutoa wimbo wa 'motochini' baadae wakawa shwari na clouds fm kusimamia show ya uzinduzi wa album ya 'coming of age' ya Sugu, baadae wakavurugana tena nadhani sababu ya mambo yao ya 'malaria no more', sahvi wamepatana na picha linaendelea...kweli dunia yako, chaguo lako...na ni kama 'anti virus no more'.
 
Maskini vinega ... Waliamini kwamba sugu anapigania haki za wasanii kumbe alikuwa na issue zake binafsi ..kina mkoloni walikuwa wanacheza ngoma wasio ijua ..

Labda tujiulize,
Harakati zozote hua zina malengo yake, unafikiri malengo ya vinega yalikua ni nini??
Yaani movement tu zisizo na malengo zinasaidia nini??
Ulitegemea Sugu awe mwanaharakati milele hata kama anachopigania kishapatikana??
Uanaharakati usio na malengo wala kikomo??
 
vita hii imefika mwisho kwa sababu ya makubaliano yaliyopatikana ambayo hapo mwanzo yalikuwa yakileta kutoelewana kwa pande zote mbili, napongeza uamuzi huu na kupuuza wale wote wanaomuona mtu yoyote aliyeshiriki kwenye vita hiyo (kinega) kama bendera mfata upepo. mwanaharakati hupigania anachokitaka na pindi anapokipata hana budi kuacha kukipigania,TUJIFUNZE NA TUACHE KUROPOKAROPOKA TU
 
Labda tujiulize,
Harakati zozote hua zina malengo yake, unafikiri malengo ya vinega yalikua ni nini??
Yaani movement tu zisizo na malengo zinasaidia nini??
Ulitegemea Sugu awe mwanaharakati milele hata kama anachopigania kishapatikana??
Uanaharakati usio na malengo wala kikomo??


Kila vita,wapiganaji hutegemea kuna mwisho wake!
Inashangaza,kuna watu wanalaumu,vita hivi,kufikia mwisho!
Kama lengo la kuanzisha BIFU hili,limetatuliwa,au mmefikia muafaka kuna haja gani ya kuliendeleza?
 
Labda tujiulize,
Harakati zozote hua zina malengo yake, unafikiri malengo ya vinega yalikua ni nini??
Yaani movement tu zisizo na malengo zinasaidia nini??
Ulitegemea Sugu awe mwanaharakati milele hata kama anachopigania kishapatikana??
Uanaharakati usio na malengo wala kikomo??

hapo kwenye RED toa mfano... me i can see no changes .. THT itabaki kwa Ruge .... mambo mengine yapo kama kawaida ... SUGU kaingiza wenzake choo cha kike..!! ... hehehe!! HAKUKUA NA NA UHARAKATI HAKUKUA NA LOLOTE .. HII ISSUE ILIKUWA NI YA KI BINAFSI .. DILI LA MALARIA .. KINA MKOLONI WALIKUWA WASHIKA PEMBE TU...
 
nampongeza sugu. hii ni hatua moja. bado mikandamizo inaendelea. zamu ya wadosi sasa hivi.heheheee...! long live vinega.
 
hapo kwenye RED toa mfano... me i can see no changes .. THT itabaki kwa Ruge .... mambo mengine yapo kama kawaida ... SUGU kaingiza wenzake choo cha kike..!! ... hehehe!! HAKUKUA NA NA UHARAKATI HAKUKUA NA LOLOTE .. HII ISSUE ILIKUWA NI YA KI BINAFSI .. DILI LA MALARIA .. KINA MKOLONI WALIKUWA WASHIKA PEMBE TU...
Studio aliyoitoa Rais JK inarudishwa kwa wasanii kwenye chombo chao husika na sio mali ya THT tena kupitia kampuni yao ya kitapeli ya Fleva UNITY.

Ushauri: kama mtu hujui hasa kundi fulani linapigania nini ni bora ukae kimya au uliza ujibiwe, CHADEMA ilitoka nje wakati wa Bunge lakini ni wao hao hao CHADEMA walikwenda kuonana na Rais kumueleza dukuduku lao na mwisho wa siku walifikia maafikiano, nyinyi msiopenda utaratibu huu ningewashauri muende kule Israel muone gogoro lao lisilokuwa na mwisho na Palestina ndio mkawe mashabiki pale.
 
Back
Top Bottom